Nimechepuka sana na mabaamedi, je nikapime HIV?

Unapimaje ugonjwa ambao huwezi kupata dawa yake??

Usipime mkuu&endelea kuchepuka nao kavu kavu
Ukijielewa mapema itakusaidia kupanga maisha yako, yaani kuzingatia ushauri nasaha na pia kuanza kutumia dawa. Hii itakusaidia angalau kusogeza siku za kuishi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom