saiv machimbo meng yamefungwa mkuuzakatoro jomba..
vipi ,wapi panahila zahabu?
Lubambe bado yupo? msalimie..
pale kalfonia wapo washkaji
usijali mkuu hapa nibongo Dar es salaam watu wanawakana hadi wazi wao sembuse wewe?
Komaa tu pambana na hali yako mwanawane.
Mkuu usijali kila mtu na yake temana naye tu sema tu kesho unasepa tungeonana kwa mwanamsabira unapapata?Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana
Kama kichwa cha habar kinavyosomeka hapo juu
Niko dar toka juz nimeagizwa na mshua kufatilia gar yake kama ishafika bandarin
Nimetembea sehemu nyingi nyingi sana kwa hapa nimeenda sinza, masak na sehemu zingine lakin nimefikia kwa shangaz yangu TABATA BIMA
Sasa leo nimekutana na mshikaj wangu mmoja wa kitambo sana ambaye tumesoma naye huko katoro geita, nikamuita bujiku mambo vp? Za siku bujiku
Jamaa akanipiga jicho la hatar sana akanambia ivi wewe ni kichaa au ni chizi? Nikamwambia kwahiyo umenisahau bujiku? Jamaa akafoka kinoma tembea na yesu wewe achana na mimi sikufahamu
Aisee yaan nimeshangaa sana kumbe watu wakifikiga mjin huwa wanadilika hivyo
Watu wote wakibak wakinitizama huku wakizan mimi ni mtu niliyerukwa na akili
Kesho namalizia mambo yangu kesho kutwa nirud zangu katoro
LONDON BABY
Amekuja Dar kuangalia kama gari imeshafika bandarini;hahahhahaJamaaa ana vistory vya kuwadaaa watu humu kma nn, na anawapata kwelkwel
BurengahaziSipafahamu mkuu ni sehem gan hapo
karibu sanaAisee mambo yanaendaje lakin huko mkuu
Bujiku na Dar wapi na wapi? Hayo majina ya ushirombo na Runzewe (shamba la nyege)
Ushirombo, runzewe mashariki na magharibi, uyovu, ng'anzo, katente, igulwa, buntubili.......dah umenikumbusha long sanaBujiku na Dar wapi na wapi? Hayo majina ya ushirombo na Runzewe (shamba la nyege)
Runzewe aka shamba la nyegeUshirombo, runzewe mashariki na magharibi, uyovu, ng'anzo, katente, igulwa, buntubili.......dah umenikumbusha long sana