py thon
JF-Expert Member
- Sep 11, 2016
- 2,471
- 4,424
Leo mida ya saa mbili usiku nilikuwa natembea hii njia ya CBE lakini niliyoyaona nilistaajabu,ama kweli ukistaajabu ya musa utayaona ya firauni.
Nimekuta masista du wa chuo cha CBE wakipanga foleni huku wakigombania mihogo saa mbili usiku.
Kwa jinsi walivyo utaona ni matawi ase kweli mwaka huu tunabana matumizi ase
Hadi masista du tunagombania nao mihogo siku hizi ,
Wakati tuliwazoea wakinywa juice wanaacha nusu kwenye glass wakila zege wanabakisha vichips robo kwenye sahani..
Lkn nawashauri mwanafunzi hapaswi kula vyakula vya wanga migumu kama mihogo mida ya usiku ,mwanafunzi yuwapaswa kula vyakula vyepesi usiku ili akiamka asubuhi akili iwe sharp ,kuwe na kiwango cha kuingiza wanga mwilini .
Nimekuta masista du wa chuo cha CBE wakipanga foleni huku wakigombania mihogo saa mbili usiku.
Kwa jinsi walivyo utaona ni matawi ase kweli mwaka huu tunabana matumizi ase
Hadi masista du tunagombania nao mihogo siku hizi ,
Wakati tuliwazoea wakinywa juice wanaacha nusu kwenye glass wakila zege wanabakisha vichips robo kwenye sahani..
Lkn nawashauri mwanafunzi hapaswi kula vyakula vya wanga migumu kama mihogo mida ya usiku ,mwanafunzi yuwapaswa kula vyakula vyepesi usiku ili akiamka asubuhi akili iwe sharp ,kuwe na kiwango cha kuingiza wanga mwilini .