INGENJA
JF-Expert Member
- Sep 11, 2012
- 4,990
- 4,255
Wazazi tusipeleke mabinti hostel....ndo funzo hapa
for sure nakumbuka hata mimi ilisha nitokea kwa dem wangu wa enzi hizo... day before kuanza chuo tulizinguana dem akaamua kwenda kusoma na maisha yakawa hostel,masiku yakapita tuka ya maliza tukarudiana but nikaja kujua dem wangu alikuwa f**ked na other guy,nilipo muuliza akakili huku akisingizia mitungi..Kiukweli nilishindwa kuvumilia kwasababu kipindi hicho mimi niliamua kuwa single nikiami ipo siku yatakwisha tutarudiana hukunikiami yeye anaamin katika hayo hatukumaliza hata miezi miwili nikavunja nae uhusioano....!!!!