Billie
JF-Expert Member
- Aug 13, 2011
- 12,726
- 19,870
Habari wapendwa wanajf: Juzi nilikuwa msibani fulan wa ndugu yangu si mnajua msibani na kuna kulala nje sasa mnamo mida ya saa 8 usiku si akaja mtu akatumwagia maji pale jamvini aisee nilikasirishwa hadi nikataka nizichape nae watu wakanishika wakaniambie eti ni MTANI wangu.
Badae wakazuia jeneza lisitoke wanataka hela.JAMANI NAOMBENI KUULIZA JE ili utani uwepo kati ya kabila moja na wengine wanaangalia nini maana utasikia mnyamwezi mtan wake mzalamo na hii kitu ina umuhimu gani? NIJUZENI MAANA MI NIMELOWEA HUKU BONGO HATA SIELEWI HIZI MAMBO.
Badae wakazuia jeneza lisitoke wanataka hela.JAMANI NAOMBENI KUULIZA JE ili utani uwepo kati ya kabila moja na wengine wanaangalia nini maana utasikia mnyamwezi mtan wake mzalamo na hii kitu ina umuhimu gani? NIJUZENI MAANA MI NIMELOWEA HUKU BONGO HATA SIELEWI HIZI MAMBO.