Nilitegemea kuona Misondo Fc wakiwaomba radhi mashabiki wao waliokimbizwa na polisi baada ya timu Yao kudraw na Asec Mimosas

NALIA NGWENA

JF-Expert Member
Oct 6, 2016
10,403
13,017
Kweli Bora upewe akili kuliko Mali, msemaji wa Misondo Fc ( Ahmedy Ally) amejisahaulisha kabisa Kama kuna mashabiki walitimuliwa na polisi na waengine walichezea makofi hadharani baada ya kuanza kuzomea kila gari inayotoka GETINI wakiamini ni kiongozi wa Simba sc.

Leo bila aibu msemaji wa Misondo Fc (Ahmedy Ally) anarudi Tena mtaani kuwabembeleza mashabiki aliowaacha kwenye mataa /kuwasaliti baada ya Misondo Fc kutoka kudondosha point mbili mbele ya Asec Mimosa.

NALIA NGWENA kwa moyo mkunjufu kabisa nalitumia jukwaa hili kuwakumbusha viongozi wa Misondo Fc kuwa mwambieni Ahmedy Ally awaombe radhi mashabiki aliowatelekeza kwani tofauti na hapo mashabiki bado tuna hasira sana Tena mno na asifikiri kuchukua hao Misondo wenzie tutasau machungu yaliyopita.

Nawasilisha taarifa.
 
Kweli Bora upewe akili kuliko Mali, msemaji wa Misondo Fc ( Ahmedy Ally) amejisahaulisha kabisa Kama kuna mashabiki walitimuliwa na polisi na waengine walichezea makofi hadharani baada ya kuanza kuzomea kila gari inayotoka GETINI wakiamini ni kiongozi wa Simba sc.

Leo bila aibu msemaji wa Misondo Fc (Ahmedy Ally) anarudi Tena mtaani kuwabembeleza mashabiki aliowaacha kwenye mataa /kuwasaliti baada ya Misondo Fc kutoka kudondosha point mbili mbele ya Asec Mimosa.

NALIA NGWENA kwa moyo mkunjufu kabisa nalitumia jukwaa hili kuwakumbusha viongozi wa Misondo Fc kuwa mwambieni Ahmedy Ally awaombe radhi mashabiki aliowatelekeza kwani tofauti na hapo mashabiki bado tuna hasira sana Tena mno na asifikiri kuchukua hao Misondo wenzie tutasau machungu yaliyopita.

Nawasilisha taarifa.

Kinacholukwaza ni kiherehere waka sio kingine
 
Back
Top Bottom