Wakuchanja
Member
- Oct 12, 2017
- 82
- 54
Habarini wanajamvi,
Miaka minne iliopita nilipata mpenzi ambaye tulipendana sana nakuaminiana pia, mapenzi yaliendelea vizuri na yalinoga kadri siku zinavyo jongea, yule mdada alikuwa anakaa kwao na mimi nimepanga naishi mwenyewe kiukweli nilishindwa gundua baadhi ya mambo kwakua hatukuishi pamoja,
Ikafika kipindi yule mdada akawa anashindwa ishi mbali na mimi hatimae alihama kwao na kuhamia kwangu. Mwanzoni tuliishi vizuri tu lakin kuna vitu nikawa sivielewi nakuvichukulia kawaida tu,kama akiwa nimetoka na mm huku nyuma nikitoka bila kumpa taarifa anajua na anapiga simu kuniambia kuwa nimetoka,hata nikichepuka pia huwa anajua tu bila hata kuambiwa,hyo hali ilifika kipindi ikanishinda sababu ilikuwa inampa kiburi na kunitaka nifate mambo anayoyataka yeye.
Nilichukua maamuzi yakuachana mwaka sasa hatupo pamoja lakin yeye hachoki kunitafuta naombeni ushauri hapo
Miaka minne iliopita nilipata mpenzi ambaye tulipendana sana nakuaminiana pia, mapenzi yaliendelea vizuri na yalinoga kadri siku zinavyo jongea, yule mdada alikuwa anakaa kwao na mimi nimepanga naishi mwenyewe kiukweli nilishindwa gundua baadhi ya mambo kwakua hatukuishi pamoja,
Ikafika kipindi yule mdada akawa anashindwa ishi mbali na mimi hatimae alihama kwao na kuhamia kwangu. Mwanzoni tuliishi vizuri tu lakin kuna vitu nikawa sivielewi nakuvichukulia kawaida tu,kama akiwa nimetoka na mm huku nyuma nikitoka bila kumpa taarifa anajua na anapiga simu kuniambia kuwa nimetoka,hata nikichepuka pia huwa anajua tu bila hata kuambiwa,hyo hali ilifika kipindi ikanishinda sababu ilikuwa inampa kiburi na kunitaka nifate mambo anayoyataka yeye.
Nilichukua maamuzi yakuachana mwaka sasa hatupo pamoja lakin yeye hachoki kunitafuta naombeni ushauri hapo