Ritakahama
JF-Expert Member
- Jul 5, 2012
- 758
- 408
Wapendwa woote hapa hamjambo?Mpenzi wangu wa moyo @Ronn M natumaini umekuwa mwaminifu kipindi chote nilichopotea mpenzi unajua maisha magumu inabid kujituma kupunguza makali nilikukooosa sana.Mama gfsonwin,pole na kuuguza Mungu ni mwema kwetu mdogo wetu amepona thanks God.
Madame B pole sana hayo ni mapenzi ya Mungu
Babu Mtambuzi nawe hongera sana.
Babu Asprin, BabaV, na wote wanafamilia natamani kuwataja kwa majina lakini nimechoka sna naomba nisamehewe.
Madame B pole sana hayo ni mapenzi ya Mungu
Babu Mtambuzi nawe hongera sana.
Babu Asprin, BabaV, na wote wanafamilia natamani kuwataja kwa majina lakini nimechoka sna naomba nisamehewe.