LA7
JF-Expert Member
- Aug 26, 2019
- 457
- 1,744
Ilikuwa ni harusi huko kijijini kwetu ule muda wa kula kukawa chakula hakijatosha hivo wale watu wa mwishoni nikiwemo na mimi tulikosa.
Kaka yangu yeye alikuwa kwenye kamati ya ugawaji hivho baada ya kubaki chakula kidogo alikuja kunichomoa kijanja kwa wasela tuende ndani tukabinye, nikamchomolea kwani nilijisikia vibaya kuwaacha masela tuliokuwa tunapiga nao story muda mwingi halafu niwakimbia kisa sahani ya ubwabwa.
Kaka yangu yeye alikuwa kwenye kamati ya ugawaji hivho baada ya kubaki chakula kidogo alikuja kunichomoa kijanja kwa wasela tuende ndani tukabinye, nikamchomolea kwani nilijisikia vibaya kuwaacha masela tuliokuwa tunapiga nao story muda mwingi halafu niwakimbia kisa sahani ya ubwabwa.