Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,304
- 29,837
Hili tukio nilitaka nisiliweke mapema hivi kwakuwa bado nipo ndani ya himaya ya Paul kagame maana wataona nawachafulia nchi yao endapo wataona hili bandiko mtandaoni. Asubuhi ya Leo nilienda sehemu moja ipo hapa Kigali niyauswahilini kiasi wanaishi watu wenye hali ya chini. Nilikaa sehemu moja hivi kula matunda lakini baada ya hapo mda kidogo kucheki simu yangu sikuiona nilichanganyikiwa kwa kweli, ila kwakuwa kila hatua tano polisi wapo nikamwita askari mmoja nikamwambia nimepoteza simu yangu either kwakudondosha au kuibiwa Sina uhakika ilitoweka ktk mazingira yapi
Haloo baada ya kumwambia tu akaita askari zaidi ya kumi na macall yao yale, walipojaa wakasema nionyeshe valid documents zakuwepo rwanda, nikatoa passport yangu wakasema nitaje namba ya simu nilivyotaja tu Kuna askari mmoja ivi shombeshombe mrefu kiasi akasearch ndani ya dk 10 ivi akawaambia wenzake kuwa simu ipo mji jirani ikabidi tupande kwenye gari zao tulipofika tu ilikuwa ni zero point ya mtu aliye na simu yangu. Aliwekwa pingu nikakagua simu nikapewa
Tuliporudi Kigali mm nikawaambia nataka niende kwenye makaburi ya Rwanda genocide hivyo naomba ni waache, wakasema haina shida hivyo wao wakabaki na yule mtuhumiwa. Can you imagine simu ya Android kwa hapa bongo ingechukua mda gani kupatikana? Mimi niliipata ndani ya Lisaa tu tena bila kutozwa pesa yoyote Ile. Hii ni Rwanda
Haloo baada ya kumwambia tu akaita askari zaidi ya kumi na macall yao yale, walipojaa wakasema nionyeshe valid documents zakuwepo rwanda, nikatoa passport yangu wakasema nitaje namba ya simu nilivyotaja tu Kuna askari mmoja ivi shombeshombe mrefu kiasi akasearch ndani ya dk 10 ivi akawaambia wenzake kuwa simu ipo mji jirani ikabidi tupande kwenye gari zao tulipofika tu ilikuwa ni zero point ya mtu aliye na simu yangu. Aliwekwa pingu nikakagua simu nikapewa
Tuliporudi Kigali mm nikawaambia nataka niende kwenye makaburi ya Rwanda genocide hivyo naomba ni waache, wakasema haina shida hivyo wao wakabaki na yule mtuhumiwa. Can you imagine simu ya Android kwa hapa bongo ingechukua mda gani kupatikana? Mimi niliipata ndani ya Lisaa tu tena bila kutozwa pesa yoyote Ile. Hii ni Rwanda