englibertm
JF-Expert Member
- May 1, 2009
- 9,252
- 6,207
Ha ha ha hapo atatozwa na bei ya kumtayarisha huyo kuku!Kwani anakaangwa hivo hivo mzima?
na mautumbo na nyonga hvitoburst humo ndani?Dont try that at home!!!Anakaangwa na magoya yake...
na mautumbo na nyonga hvitoburst humo ndani?Dont try that at home!!!
halafu wewe mchokozi sana ni typing error lol wengine tuna makengeza....Mhhh basi ingekuwa hivo tusingepata shida ya kumsafisha huyo kuku angepikwa mzimamzima...Hio nyongo inasababisha kuku anakuwa mchungu!Lol nyonga tena...kama ni nyongo basi hiyo haina madhara haitumbuki...
halafu wewe mchokozi sana ni typing error lol wengine tuna makengeza....Mhhh basi ingekuwa hivo tusingepata shida ya kumsafisha huyo kuku angepikwa mzimamzima...
kama watu gani hao hebu nifumbue macho?Hahah wewe ndio huwezi best...ila kuna watu wanaweza wanamla kama alivyo na magoya yake...
watu8.............kama watu gani hao hebu nifumbue macho?
Halafu wewe....harusi lini nishaambiwa nitakuwa matron!!watu8.............
Halafu wewe....harusi lini nishaambiwa nitakuwa matron!!
Acha masikharaaaa..ur not serious....Sasa bi harusi wafanya nn hapa usoenda kujisugua na njano!!Ni kesho..October 5....Utakuja!!!!!!
Mpambe mimi nikosekane tena....Ni kesho..October 5....Utakuja!!!!!!
Acha masikharaaaa..ur not serious....Sasa bi harusi wafanya nn hapa usoenda kujisugua na njano!!
Mpambe mimi nikosekane tena....
Ohoooo shaurizoooo....
Ohoooo shaurizoooo....
Anakaangwa na magoya yake...