Nauza Nikon Digital Camera Model COOLPIX 5200 na ina megapixel 5.1.Imetumika lakini ipo katika hali nzuri na inafanyakazi bila ya wasiwasi.Inayo battery na charger yake na bei ni Tshs 85,000 kwa mawasiliano zaidi naomba umpigie simu Habibu 0717810318.Camera imeshafika Bongo kutokea Uingereza.
Sawa jamani nimewasikia lakini hivo vya zamani pia vinapendwa "old is gold".Hii ni camera ni ya kampuni iliyobobea ktk mambo ya Camera ni jina kubwa ktk mambo hayo.Bei zake siku zote zipo juu kwasababu ni Quality hata kama unaona ni 5 megapixel lakini bado inatoa picha babu kubwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.