Nikisema Katiba mpya na Tume huru ya uchaguzi ni baada ya Uchaguzi Mkuu 2025 sitakuwa nimekosea

MKWEAMINAZI

JF-Expert Member
May 28, 2023
930
1,299
Wadau huu ukimya wa mchakato wa kuanza upatikanaji wa Katiba Mpya na tume huru ya uchaguzi ni ushahidi tosha kuwa hakuna kinachoendelea.

Na haya matukio ya bandari n.K ni mbinu za ucheleweshaji tu. Sioni dalili wala juhudi zozote za wahusika na huu mchakato kuwa wako busy na upatikanaji wa katiba mpya na tume huru ya uchaguzi kwani wao katiba iliyopo na tume ya uchaguzi iliyopo kwao ni muhimu kuliko katiba mpya na tume huru ya uchaguzi.

Kwa maono yangu na jinsi mambo yanavyoenda, Tanzania hakuna katiba mpya wala tume huru ya uchaguzi mpaka baada ya uchaguzi mkuu wa 2025.

Mnaosuburi eti kuna katiba mpya na tume huru ya uchaguzi mtasubiri sana hii ni tanzania taifa la ambalo hata wenye uwezo wa kuondoa mishangao nao wanashangaa. Wananchi tunataka katiba mpya sasa na tume huru ya uchaguzi sasa.

1641023700955.jpg
 
Chama kikigeuka pressure group...lazima muwe mnapewa agenda za matukio tu...sio future
 
Wadau huu UKIMYA wa Mchakato wa kuanza Upatikanaji wa JATIBA MPYA na TUME HURU ya UCHAGUZI ni USHAHIDI tosha kuwa HAKUNA KINACHOENDELEA.
Na haya MATUKIO ya BANDARI n.k ni MBINU za UCHELEWESHAJI TU.
Sioni DALILI wala JUHUDI zozote za WAHUSIKA na huu MCHAKATO kuwa wako BUSY na UPATIKANAJI wa KATIBA MPYA na TUME HURU ya UCHAGUZI kwani WAO KATIBA iliyopo na TUME ya UCHAGUZI iliyopo kwao ni MUHIMU kuliko KATIBA MPYA na TUME HURU ya UCHAGUZI.
Kwa MAONO yangu na JINSI mambo yanavyoenda
TANZANIA hakuna KATIBA MPYA wala TUME HURU ya UCHAGUZI mpaka BAADA YA UCHAGUZI MKUU wa 2025.
Mnaosuburi ETI kuna KATIBA MPYA na TUME HURU ya UCHAGUZI MTASUBIRI SANA hii ni TANZANIA Taifa la ambalo hata wenye UWEZO wa KUONDOA MISHANGAO nao WANASHANGAA
WANANCHI tunataka KATIBA MPYA SASA na TUME HURU ya UCHAGUZI SASA.View attachment 2680695
Mkuu

Ungekua unasoma kwa kina na kutafakari wala usingeandika haya!!

Mchakato huu umeachwa maksudi KABISA wakati lilikua ni agizo kuu kwake!!

SASA kwakua amekiuka Bas na plan zake zitafeli pia,atakwamishwa na wale wale waliompa maagizo!!!

Ndio maana juzi taarifa imetoka tena!

KUA kitabu mbona bado!?Fdr una dalili!!?akaamhiwa wait after a few days!!!
 
Wadau huu UKIMYA wa Mchakato wa kuanza Upatikanaji wa JATIBA MPYA na TUME HURU ya UCHAGUZI ni USHAHIDI tosha kuwa HAKUNA KINACHOENDELEA.
Na haya MATUKIO ya BANDARI n.k ni MBINU za UCHELEWESHAJI TU.
Sioni DALILI wala JUHUDI zozote za WAHUSIKA na huu MCHAKATO kuwa wako BUSY na UPATIKANAJI wa KATIBA MPYA na TUME HURU ya UCHAGUZI kwani WAO KATIBA iliyopo na TUME ya UCHAGUZI iliyopo kwao ni MUHIMU kuliko KATIBA MPYA na TUME HURU ya UCHAGUZI.
Kwa MAONO yangu na JINSI mambo yanavyoenda
TANZANIA hakuna KATIBA MPYA wala TUME HURU ya UCHAGUZI mpaka BAADA YA UCHAGUZI MKUU wa 2025.
Mnaosuburi ETI kuna KATIBA MPYA na TUME HURU ya UCHAGUZI MTASUBIRI SANA hii ni TANZANIA Taifa la ambalo hata wenye UWEZO wa KUONDOA MISHANGAO nao WANASHANGAA
WANANCHI tunataka KATIBA MPYA SASA na TUME HURU ya UCHAGUZI SASA.View attachment 2680695
Ni kweli tena kuelekea 2030 Mungu akipenda.
 
Katiba mpya haiwezi kupatikana katika mazingira rahisi tujifunze kwa nchi zenye katiba nzuri walifanyaje ubovu wa katiba ni faida kwa ccm na uoga wa wananchi ndio inafanya ccm iendelee kushinda kwa kishindo Mungu mwenyewe aamue
 
Wadau huu UKIMYA wa Mchakato wa kuanza Upatikanaji wa JATIBA MPYA na TUME HURU ya UCHAGUZI ni USHAHIDI tosha kuwa HAKUNA KINACHOENDELEA.
Na haya MATUKIO ya BANDARI n.k ni MBINU za UCHELEWESHAJI TU.
Sioni DALILI wala JUHUDI zozote za WAHUSIKA na huu MCHAKATO kuwa wako BUSY na UPATIKANAJI wa KATIBA MPYA na TUME HURU ya UCHAGUZI kwani WAO KATIBA iliyopo na TUME ya UCHAGUZI iliyopo kwao ni MUHIMU kuliko KATIBA MPYA na TUME HURU ya UCHAGUZI.
Kwa MAONO yangu na JINSI mambo yanavyoenda
TANZANIA hakuna KATIBA MPYA wala TUME HURU ya UCHAGUZI mpaka BAADA YA UCHAGUZI MKUU wa 2025.
Mnaosuburi ETI kuna KATIBA MPYA na TUME HURU ya UCHAGUZI MTASUBIRI SANA hii ni TANZANIA Taifa la ambalo hata wenye UWEZO wa KUONDOA MISHANGAO nao WANASHANGAA
WANANCHI tunataka KATIBA MPYA SASA na TUME HURU ya UCHAGUZI SASA.View attachment 2680695
Watu makini walijua kitambo sana Saa 100 hawezi leta katiba mpya kwasababu zifuatazo:

(i). Yeye mwenyewe ni mnufaika wa katiba mbovu iliyopo

(ii). Mchakato wa 2014 uliharibiwa na CCM ambako Saa 100 alikuwa sehemu yake, kumbuka Saa 100 alikuwa makamu mwenyekiti wa bunge la katiba
 
Chama kikigeuka pressure group...lazima muwe mnapewa agenda za matukio tu...sio future
Kuna watu siku wataamua kuingia msituni mifano ipo nchi jirani kuna vyama vikongwe vilishaota mizizi wanainchi walivyoamua mwisho viling'oka hakuna kitakacho dumu milele kama ccm wanavyoamini
 
Wadau huu ukimya wa mchakato wa kuanza upatikanaji wa Katiba Mpya na tume huru ya uchaguzi ni ushahidi tosha kuwa hakuna kinachoendelea.

Na haya matukio ya bandari n.K ni mbinu za ucheleweshaji tu. Sioni dalili wala juhudi zozote za wahusika na huu mchakato kuwa wako busy na upatikanaji wa katiba mpya na tume huru ya uchaguzi kwani wao katiba iliyopo na tume ya uchaguzi iliyopo kwao ni muhimu kuliko katiba mpya na tume huru ya uchaguzi.

Kwa maono yangu na jinsi mambo yanavyoenda, Tanzania hakuna katiba mpya wala tume huru ya uchaguzi mpaka baada ya uchaguzi mkuu wa 2025.

Mnaosuburi eti kuna katiba mpya na tume huru ya uchaguzi mtasubiri sana hii ni tanzania taifa la ambalo hata wenye uwezo wa kuondoa mishangao nao wanashangaa. Wananchi tunataka katiba mpya sasa na tume huru ya uchaguzi sasa.

View attachment 2680695
Unawezaje kutofautisha HOJA ya KATIBA mpya na Hoja ya Bandari?

Unawezaje kutofautisha madai ya wafanyabiashara KARIAKOO na madai ya KATIBA mpya?

Wananchi wanapohoji mamlaka ya Rais ktk HOJA ya Bandari ndo wanadai KATIBA mpya kama solution ya mkwamo wa Bandari.

Ukiona Wana CCM na CDM na watu wa makundi yote wakiungana kupinga Bandari kugaiwa Bure Kwa wageni ndo ujue wanadai KATIBA mpya.

Ukiona wananchi wanadai Tanganyika Yao kama solution ya HOJA ya Bandari, jua kuwa wanadai Muundo wa Serikali 3 ktk KATIBA mpya.

KATIBA mpya hupatikana ktk mixed feeling Kila Mmoja akiidai kulingana na changamoto yake mwenyewe.

KATIBA mpya itapatikana na kukamilika 2026.

Tusubiri.
 
Katiba mpya Katiba mpya Katiba mpya msitulazimishe kuitafuta kwa mtutu.
 
Back
Top Bottom