Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 17,111
- 18,524
Acha utani, ina maana haya majoka yenye makengeza yakitoa majibu unajiunga nayo? Mimi siwezi kujiunga nao hata wakirudisha hela za EPA, ESCROW nk.Mimi yakipatikana ya EPA na ESCROW kuhusu hela zetu zitarudi lini nakuwa Mhamasishaji wa CCM