Nikiona chupi ya msichana tu nachanganyikiwa

Unaumwaaaaaaaaaaaaaaaa......dah! ulitakiwa uwe umelazwa ICU muda huu!!!!!
 
Mwekundu, huo sio ugonjwa ni matamanio ya kawaida tu na hasa katika umri mdogo ambapo kupata wa kutuliza naye nafsi mara nyingi ni mtihani.

Jitahidi kui control tu hiyo hali, na kama muda umefika, basi pata wako ambaye mchana kutwa na usiku kucha atashinda kaanika chupi hizi geto kwenu, mwisho utazizoea tu, na sio chupi tu, bali hata kile kifunikwacho na chupi hizo!
 
9k=

Jaman msaada wana MMU nataka mniambie huu nilio nao ni ugonjwa au ni hali ya kawaida,mimi mwenzenu nikiiona tu chupi ya msichana iwe imeanikwa au kavaa imechungulia aidha iwe barabarani,mtaani ,kwenye gari ,ofisini au chuoni(yaani kwa ufupi popote pale) huwa nachanganyikiwa yaani na lose control mwili unasisimka na mgegedo nao unasimama wima,yani sometimes hadi inakuwa aibu unasimama hadi mbele za watu so long as nimeiona chupi.

Weekends huwa napenda sana kwenda beach,tofauti na watu wengine kabisa kwamba wanaenda beach kula upepo mzuri mimi huwa naendaga kuangalia chupi tu za wanawake yaani hapo najisikia rahaaaa,na wadada mnavyopenda kuvaa vichupi beach mimi huwa nakua tu hoi.....!!

Sasa nataka mniambie hii ni hali ya kawaida au ugonjwa.

Pole sana, pepo la ngono
 
9k=

Jaman msaada wana MMU nataka mniambie huu nilio nao ni ugonjwa au ni hali ya kawaida,mimi mwenzenu nikiiona tu chupi ya msichana iwe imeanikwa au kavaa imechungulia aidha iwe barabarani,mtaani ,kwenye gari ,ofisini au chuoni(yaani kwa ufupi popote pale) huwa nachanganyikiwa yaani na lose control mwili unasisimka na mgegedo nao unasimama wima,yani sometimes hadi inakuwa aibu unasimama hadi mbele za watu so long as nimeiona chupi.

Weekends huwa napenda sana kwenda beach,tofauti na watu wengine kabisa kwamba wanaenda beach kula upepo mzuri mimi huwa naendaga kuangalia chupi tu za wanawake yaani hapo najisikia rahaaaa,na wadada mnavyopenda kuvaa vichupi beach mimi huwa nakua tu hoi.....!!

Sasa nataka mniambie hii ni hali ya kawaida au ugonjwa.
121173396819_1.jpg
 
Dawa ipo, chukua bikari kisha peleka machoni kwa nguvu kule kwenye makali, fanya hivyo mara 3 kwa kila jicho.

 
Im just wondering fashion ya kuvaa chupi beach ikiisha sijui itafuata fashion gani??
 
Back
Top Bottom