Nikikutana na Majaliwa aliyejinadi kufungua mlango wa ndege ya Precision namcharaza viboko kweli kweli! Watanzania ifikie pahala tutumie akili

G Sam

JF-Expert Member
Apr 20, 2013
11,555
35,880
Naam, imefikia pahala watanzania tunajitumbukiza kwenye vijistori vya hovyo hovyo na kuvinadi pasipo kufanya utafiti wa kina. Hili mimi naliona kama tatizo kubwa sana kwetu kama watanzania.

Hivi karibuni ameibuka kijana mmoja ambaye alidai kuwa alifungua mlango wa ndege iliyopata ajali huko Kagera ya PW na kufanya abiria 23 watoke nje. Anadai kuwa mlango huo aliufungua kwa kuugonga na kasia la mti kutokea nje ndipo ukafunguka na mbali zaidi akadai kuwa alienda hadi upande wa Rubani na kufanya naye mawasiliano.

Sasa mimi nasema hivi, huu ni utapeli na ujinga wa hali ya juu kuuamini. Kwanza kijana yule hakuufungua mlango kwa njia anayodai! Kwangu mimi hilo hapana! Mlango ulifunguliwa kutokea ndani kwa mujibu wa fizikia ya ndege! Hilo kwenye mjadala nalifunga.

La pili ni kuwa upo uwezekanano mkubwa wa wale abiria pamoja na rubani waliokwama eneo la mbele ambapo ndege ilijikunja kutokana na kujibamiza kwa nguvu kwenye ardhi waliaga dunia muda mfupi sana baada ya dhoruba hiyo. Kishindo kilichoifanya ndege ikunjike hakikuwa kishindo cha kawaida hata kidogo. Yani kwa muonekano ule ndege ilipata dhoruba kali eneo lile na kwa sisi tunaopanda ndege kila uchwao tunajua muitikio wake ulikuwaje.

Kingine ni yule kijana aliyedai kuwa alipata kishoka cha kuvunja kioo ila akazuiwa kufanya hivyo. Emb acheni masihara nyie ya kuamini kila hadithi. Mnajua unene wa kile kioo??? Kama ndege iliweza kujibamiza vile hadi body ikakunjika kuelelekea chini na kioo kikabakia vile vile, je angeweza kukivunja kwa kishoka??
Munaoamini hii story na kutembea nayo kichwani "Wapumbavu wakubwa" Na siku nikikutana na yule kijana kweli atakula viboko kwa kuwadanganya watanzania wajinga!
 
Napendekeza Noti mpya iwekwe picha ya shujaa jasiri Majaliwa. Hasa Noti ya 1000 na 2000. Na pia ajengewe mnara.

Isitoshe Serikali, bunge na wananchi kwa jumla tumpigie debe awekwe kwenye front cover ya Times person of the year 2022. Tusimuachie kabisa Zelenskyy achukue hiyo nafasi.
 
Naam, imefikia pahala watanzania tunajitumbukiza kwenye vijistori vya hovyo hovyo na kuvinadi pasipo kufanya utafiti wa kina. Hili mimi naliona kama tatizo kubwa sana kwetu kama watanzania.

Hivi karibuni ameibuka kijana mmoja ambaye alidai kuwa alifungua mlango wa ndege iliyopata ajali huko Kagera ya PW na kufanya abiria 23 watoke nje. Anadai kuwa mlango huo aliufungua kwa kuugonga na kasia la mti kutokea nje ndipo ukafunguka na mbali zaidi akadai kuwa alienda hadi upande wa Rubani na kufanya naye mawasiliano.

Sasa mimi nasema hivi, huu ni utapeli na ujinga wa hali ya juu kuuamini. Kwanza kijana yule hakuufungua mlango kwa njia anayodai! Kwangu mimi hilo hapana! Mlango ulifunguliwa kutokea ndani kwa mujibu wa fizikia ya ndege! Hilo kwenye mjadala nalifunga.

La pili ni kuwa upo uwezekanano mkubwa wa wale abiria pamoja na rubani waliokwama eneo la mbele ambapo ndege ilijikunja kutokana na kujibamiza kwa nguvu kwenye ardhi waliaga dunia muda mfupi sana baada ya dhoruba hiyo. Kishindo kilichoifanya ndege ikunjike hakikuwa kishindo cha kawaida hata kidogo. Yani kwa muonekano ule ndege ilipata dhoruba kali eneo lile na kwa sisi tunaopanda ndege kila uchwao tunajua muitikio wake ulikuwaje.

Kingine ni yule kijana aliyedai kuwa alipata kishoka cha kuvunja kioo ila akazuiwa kufanya hivyo. Emb acheni masihara nyie ya kuamini kila hadithi. Mnajua unene wa kile kioo??? Kama ndege iliweza kujibamiza vile hadi body ikakunjika kuelelekea chini na kioo kikabakia vile vile, je angeweza kukivunja kwa kishoka??
Munaoamini hii story na kutembea nayo kichwani "Wapumbavu wakubwa" Na siku nikikutana na yule kijana kweli atakula viboko kwa kuwadanganya watanzania wajinga!
🤔🤔🤔🤔🤔
 
Unatumia nadharia kuhalalisha uhalisia

1: Hiyo fizikia ya mlango wa ndege ni ipi.

2: Unasema kulitokea kishindo, walionusurika hatukusikia yeyote akisema kulitokea kishindo

3: Unasema kioo cha ndege hakiwezi kuvunjika, hakuna aliyesema kwamba alikivunja na ikashindikana.
 
Naam, imefikia pahala watanzania tunajitumbukiza kwenye vijistori vya hovyo hovyo na kuvinadi pasipo kufanya utafiti wa kina. Hili mimi naliona kama tatizo kubwa sana kwetu kama watanzania.

Hivi karibuni ameibuka kijana mmoja ambaye alidai kuwa alifungua mlango wa ndege iliyopata ajali huko Kagera ya PW na kufanya abiria 23 watoke nje. Anadai kuwa mlango huo aliufungua kwa kuugonga na kasia la mti kutokea nje ndipo ukafunguka na mbali zaidi akadai kuwa alienda hadi upande wa Rubani na kufanya naye mawasiliano.

Sasa mimi nasema hivi, huu ni utapeli na ujinga wa hali ya juu kuuamini. Kwanza kijana yule hakuufungua mlango kwa njia anayodai! Kwangu mimi hilo hapana! Mlango ulifunguliwa kutokea ndani kwa mujibu wa fizikia ya ndege! Hilo kwenye mjadala nalifunga.

La pili ni kuwa upo uwezekanano mkubwa wa wale abiria pamoja na rubani waliokwama eneo la mbele ambapo ndege ilijikunja kutokana na kujibamiza kwa nguvu kwenye ardhi waliaga dunia muda mfupi sana baada ya dhoruba hiyo. Kishindo kilichoifanya ndege ikunjike hakikuwa kishindo cha kawaida hata kidogo. Yani kwa muonekano ule ndege ilipata dhoruba kali eneo lile na kwa sisi tunaopanda ndege kila uchwao tunajua muitikio wake ulikuwaje.

Kingine ni yule kijana aliyedai kuwa alipata kishoka cha kuvunja kioo ila akazuiwa kufanya hivyo. Emb acheni masihara nyie ya kuamini kila hadithi. Mnajua unene wa kile kioo??? Kama ndege iliweza kujibamiza vile hadi body ikakunjika kuelelekea chini na kioo kikabakia vile vile, je angeweza kukivunja kwa kishoka??
Munaoamini hii story na kutembea nayo kichwani "Wapumbavu wakubwa" Na siku nikikutana na yule kijana kweli atakula viboko kwa kuwadanganya watanzania wajinga!
Na wewe unaongelea kinadharia sana. Lazima muhudumu wa ndege alishafungua "latch " au kitasa cha ndani ya ndege. Jamaa alipopiga ule mlango- mshituko ukatokea na lango likafunguka hasa kama mlango ulikuwa umepinda kidogo kutokana na ajali. Kumbuka kwamba marubani walikuwa hai ndege ilipoanguka- tulipata taarifa wakati wa uokozi ukiendelea kwamba wanawasiliana na marubani. Ila kwanini tulitumia muda mwingi kuivuta ndege badala ya kuivuja na kuondoa watu haraka wasielemewe na maji.
 
Naam, imefikia pahala watanzania tunajitumbukiza kwenye vijistori vya hovyo hovyo na kuvinadi pasipo kufanya utafiti wa kina. Hili mimi naliona kama tatizo kubwa sana kwetu kama watanzania.

Hivi karibuni ameibuka kijana mmoja ambaye alidai kuwa alifungua mlango wa ndege iliyopata ajali huko Kagera ya PW na kufanya abiria 23 watoke nje. Anadai kuwa mlango huo aliufungua kwa kuugonga na kasia la mti kutokea nje ndipo ukafunguka na mbali zaidi akadai kuwa alienda hadi upande wa Rubani na kufanya naye mawasiliano.

Sasa mimi nasema hivi, huu ni utapeli na ujinga wa hali ya juu kuuamini. Kwanza kijana yule hakuufungua mlango kwa njia anayodai! Kwangu mimi hilo hapana! Mlango ulifunguliwa kutokea ndani kwa mujibu wa fizikia ya ndege! Hilo kwenye mjadala nalifunga.

La pili ni kuwa upo uwezekanano mkubwa wa wale abiria pamoja na rubani waliokwama eneo la mbele ambapo ndege ilijikunja kutokana na kujibamiza kwa nguvu kwenye ardhi waliaga dunia muda mfupi sana baada ya dhoruba hiyo. Kishindo kilichoifanya ndege ikunjike hakikuwa kishindo cha kawaida hata kidogo. Yani kwa muonekano ule ndege ilipata dhoruba kali eneo lile na kwa sisi tunaopanda ndege kila uchwao tunajua muitikio wake ulikuwaje.

Kingine ni yule kijana aliyedai kuwa alipata kishoka cha kuvunja kioo ila akazuiwa kufanya hivyo. Emb acheni masihara nyie ya kuamini kila hadithi. Mnajua unene wa kile kioo??? Kama ndege iliweza kujibamiza vile hadi body ikakunjika kuelelekea chini na kioo kikabakia vile vile, je angeweza kukivunja kwa kishoka??
Munaoamini hii story na kutembea nayo kichwani "Wapumbavu wakubwa" Na siku nikikutana na yule kijana kweli atakula viboko kwa kuwadanganya watanzania wajinga!
IMG-20221112-WA0013.jpg


Ilikuwa ni team work kati ya Majaliwa aliye kuwa nje, na pia watu waliokuwemo ndani.
 
Na wewe unaongelea kinadharia sana. Lazima muhudumu wa ndege alishafungua "latch " au kitasa cha ndani ya ndege. Jamaa alipopiga ule mlango- mshituko ukatokea na lango likafunguka hasa kama mlango ulikuwa umepinda kidogo kutokana na ajali. Kumbuka kwamba marubani walikuwa hai ndege ilipoanguka- tulipata taarifa wakati wa uokozi ukiendelea kwamba wanawasiliana na marubani. Ila kwanini tulitumia muda mwingi kuivuta ndege badala ya kuivuja na kuondoa watu haraka wasielemewe na maji.
Hata hivo mlango wa ndege u a layer kadhaa huwezi fungua kwa kugonga na kasia mzeee, lazima ufyatue knobs ndo ujifungue tena kirahisi tu ila ni mzito sana
 
Jamaa tumia muda wa dakika 5 tu na 45% ya ubongo wako utajua umeweka hisia zaidi.
Kama kwa ndani walijaribu kufungua ukogoma kwa sababu ya nguvu ya msukumo ya maji nje ya ndege au kuharibika kwa mlango sababu ya ajali. Haiwezekani kijana ndiyo aliuvuta kwa nje baada ya watu kuondoa kizingiti ( latch) kwa ndani?
Haiwezekani mlango kugoma kufunguka kama vile tairi za ndege zinavyogoma kutoka au kuingia ndani?
Wivu au/na ujuaji mwingi ukizidi uwezo wa kuchanganua mambo unapungua.
 
Jamaa tumia muda wa dakika 5 tu na 45% ya ubongo wako utajua umeweka hisia zaidi.
Kama kwa ndani walijaribu kufungua ukogoma kwa sababu ya nguvu ya msukumo ya maji nje ya ndege au kuharibika kwa mlango sababu ya ajali. Haiwezekani kijana ndiyo aliuvuta kwa nje baada ya watu kuondoa kizingiti ( latch) kwa ndani?
Haiwezekani mlango kugoma kufunguka kama vile tairi za ndege zinavyogoma kutoka au kuingia ndani?
Wivu au/na ujuaji mwingi ukizidi uwezo wa kuchanganua mambo unapungua.
Pumbavu! Msukumo wa maji kwa mlango wa nyuma uliuona wapi? Na hata hivyo kama kulikuwa na msukumo (ambao haukuwepo) mlango ulizuiwa na nini ili usirudi? Pumbavu!
 
Pumbavu! Msukumo wa maji kwa mlango wa nyuma uliuona wapi? Na hata hivyo kama kulikuwa na msukumo (ambao haukuwepo) mlango ulizuiwa na nini ili usirudi? Pumbavu!
Namaanisha external pressure ambayo ilikuwa inasukuma mlango kwa ndani sababu internal pressure ilikuwa ndogo ndani kulikuwa na nafasi na hewa.
Nakukumbusha tu fizikia ya elimu ya upili.
BTW, aviation ni moja kati ya field zangu nyingi za kutafutia kipato na hapo Precision Air nimepitia miaka hiyo.
 
Back
Top Bottom