Canabian Rasta
JF-Expert Member
- Aug 18, 2022
- 773
- 1,708
Wakuu, wakubwa kwa wadogo naomba kujua madhara nitakayopata kwa unywaji wa soda, nimekua kama teja, kuna wakati nanunua majiyakuywa na soda pembeni yan kwanza nakuywa soda nikiridhika ndo nakuywa maji kidogo.
Nilianza kwa kuywa soda chupa moja wakati wa mchana tuu saivi naweza kuywa mara3 kwa siku, nimefikia hatua nanunua cret la soda kwajili ya usiku kabla ya kulala niwe napiga moja then naenda on bed, nina khofu nikitu gani kitafata baadae ila kwa sasa sina tatizo lolote.
Ugojwa wangu ni Mirinda nyeusi, Sprite, Stone tangawizi au pineapple pia energy drinks hua nagonga maramoja moja kama nikiywa soda then nikawa sijaridhika.
Nilianza kwa kuywa soda chupa moja wakati wa mchana tuu saivi naweza kuywa mara3 kwa siku, nimefikia hatua nanunua cret la soda kwajili ya usiku kabla ya kulala niwe napiga moja then naenda on bed, nina khofu nikitu gani kitafata baadae ila kwa sasa sina tatizo lolote.
Ugojwa wangu ni Mirinda nyeusi, Sprite, Stone tangawizi au pineapple pia energy drinks hua nagonga maramoja moja kama nikiywa soda then nikawa sijaridhika.