Magu
Senior Member
- Jun 13, 2011
- 156
- 56
Ndg zangu wana jf nawaombeni ushauri wenu, nimezingatia yafuatayo kabla ya yote, Jf injumuisha intellectuals na ndo mana tuna slogan yetu kuwa jf's ni great thinkers, pili pia palipo na wengi haliharibiki jambo, na mawazo ya wengi ni mawazo ya Mungu. Mimi ni mzaliwa wa Wilaya ya ukerewe, lakini bahati mbaya sikuwahi kukaa baada ya wazazi wangu kuwa katika utumishi wa umma, na wakati walipostaafu wakaamua kuishi wilaya ya Magu, wamejenga na kumiliki mashamba na kutambulika kama wakazi wa Magu. Mimi binafsi nimejenga Dar na naishi na kufanyakazi Dar. ↲Mimi ninakusudia kuingia ktk mchakato wa kugombea ubunge 2015, tatizo langu sijui ni wapi naweza gombea, magu, ukerewe? Nawaombeni ushauri wenu ndg zangu