Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,786
Profesa kutoka Nigeria Opeyemi Enoch anadaiwa ameweza kusolve Math problem ambalo wanahisabati wa Dunia wamelishindwa kwa miaka 150, linaitwa Riemann Hypothesis.
Kwa wale wanaofahamu Hisabati kidogo, Riemann Bernhard ni Mwanahisabati wa Kijerumani aliyetoa mchango mkubwa sana kwenye Hisabati. Kama unafahamu Integration ziligunduliwa na Bw. Riemann na kihisabati huwa zinaitwa Riemann Integrals, na ndiye aliyetunga ile alama iliyokaaa kama herusi ya S
!
Atapokea Euro milioni moja kwa kazi hii kubwa!
Kwa wale wanaofahamu Hisabati kidogo, Riemann Bernhard ni Mwanahisabati wa Kijerumani aliyetoa mchango mkubwa sana kwenye Hisabati. Kama unafahamu Integration ziligunduliwa na Bw. Riemann na kihisabati huwa zinaitwa Riemann Integrals, na ndiye aliyetunga ile alama iliyokaaa kama herusi ya S
Atapokea Euro milioni moja kwa kazi hii kubwa!