oldd vampire
JF-Expert Member
- Jun 3, 2011
- 253
- 52
nina mpenz wangu na tuna 3 yrs katika relation,wakati tunaanza nliwah mcheat,na akanisamehe,na tukawa vizuri ila sasa ikawa akiwa na tatizo haniambii anawaambia wa2 wengn especialy his brother na unco wake,mm anakuja nipa majibu tu,nliwah kumuliza why yupo hivi alininambia hajanioa wala kuni engage so ataniambia vinavo nihusu,haya kuna vitu aliniahidi kunipa tangu mwaka jana na anavo ila hataki nipa nikimuliza anasema i dont trust you na maybe naeza rudia mcheat ndo mana anahesitate,so kutokana na hayo mm nikaamua kua mpole na ku cop na mzingira,mana hua ananiambia aga kwenu next wik uje nyumbani upajue home kwetu,ikifika hiyo cku ataleta tuu kisingizio,sasa mm nikawa naish nae kwa mazoea,hivi juzi akaniambia hivi hua hujiulizi why hua sikushirikishi?hua huniambii mambo ya maendeleo nikipata hela,yan eti am na secretive,sasa mm nashindwa kumuelewa mana kajisahau kua he has planted seeds of his own destruction,mana mm naanzia wapi kumuliza yte hayo,wakt alishanijibu kua haniamn?anadai kua mm cna hata futre na pesa hata akinipa mana hua simpi ushauri,natamshauri nn wakt kuna watu ambao hua anawasikiliza sana waki mshauri? ,sasa he is putting all da blame on me,nifanyaje?nimekosa amani kbs