dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 9,409
- 15,994
Ikiwa leo ndio wenzetu wameAnza mwezi mtukufu wa ramadhani na mh rais akawailika watu wale wale wa kila siku ktk iftari
Bas na mm Niko hapo mnipe mbinu ili nipate walau iftari ya pili itayo fanyika dodoma
Watu Ni wale wale wa siku zote ambapo wengine nimewazidi akili ,maarifa,na uwezo binafsi ila Bado wananizidi hii ya kualikwa ikulu kila mwaka kula pmj na mkuu wa nchi
There is the god in heaven we pray he answer
Bas na mm Niko hapo mnipe mbinu ili nipate walau iftari ya pili itayo fanyika dodoma
Watu Ni wale wale wa siku zote ambapo wengine nimewazidi akili ,maarifa,na uwezo binafsi ila Bado wananizidi hii ya kualikwa ikulu kila mwaka kula pmj na mkuu wa nchi
There is the god in heaven we pray he answer