Hilo hawezi kusema mbele za watu ...Huwezi kuwa mgeni bwana, hili jambo si unalizungumziq kila mara Tayana😀😀
🙏🙏🙏Amen!
It is not over until it's over, if you know what I mean!!!Why?
Hilo muhimu sana MjukuuNitazingatia Babu 😊
Anajikausha bibie🤣Huwezi kuwa mgeni bwana, hili jambo si unalizungumziq kila mara Tayana😀😀
Sitakuangusha babu, na hivi nampenda? Burudani mwanzo hadi uzeeni 😂Hilo muhimu sana Mjukuu
Hata kama tumezeeka mtupe hata dozi ya mwaka mara 2
Tena unavizia ikisimama tu unarukia juu maana ukichelewa hiyo ni hadi miezi 6 ipite 🙈🏃♂️🏃♂️🏃♂️
Na iwe hivyo Mjukuu...Sitakuangusha babu, na hivi nampenda? Burudani mwanzo hadi uzeeni 😂
We mwenyewe una jijua ni kyande x10 😀😂🤣, Bora hata bichwa 😀em kwendraah huko,
Labda mengine, hilo halitokaa kuja kama case.Na iwe hivyo Mjukuu...
Kusuluhisha ugomvi wa kukosekana kwa huduma inakuwaga ngumu, manake badala ya kusolve tatizo lenu na Mimi Babu yenu najikuta nalia as unakuta hilo tatizo nili-experience mwaka 47 😜
Usijali: Sisi hatutakuja publicBad news, goma lishayeya 🤣🤣
Asante.
Kwa unavyojiamini hili eneo, mbona Babu yako nashawishika tumuongezee jamaa MahariLabda mengine, hilo halitokaa kuja kama case.
Kweli nimeamini Mkwe wangu umempenda kikweli kweliBabu si tutamkimbiza? 😩
We bibi weweMbona wengine tulistuka zamani ni ID mbili klakini mtu mmoja tu.
Ni vyema mapenzi feki umeuwa ki feki feki.