pepim
JF-Expert Member
- Aug 1, 2011
- 335
- 51
Wana jf wenzangu poleni sana na majukumu ya j3....Wengi najua mmefunga ofisi na mnajiandaa kwa kwesho,ila co mbaya nikiwashirikisha katika hili...Naombeni ufafanuzi juu jambo hili,hivi katika mapenzi kilele nini?Je wanaume na wanawake hufika lileleni?Kama ndio,ni hali inayoonesha kuwa wamefika kileleni?Na mambo gani yatakayoonesha mwanamke amefikia kilele cha mapenzi?Nimewasilisha....