Nazjaz
JF-Expert Member
- Jan 20, 2011
- 7,684
- 8,833
Serikali haitujali tena wananchi wake.
Hali imekuwa ngumu sana na hakuna uhakika wa kupata huduma muhimu kama afya, elimu, chakula, maji, umeme, mafuta n.k.
Sasa ni wakati muafaka wa wananchi kubadilishana habari na taarifa through social networks na kisha kufanya uamuzi wa kuingia barabarani na mitaani kuandamana mpaka pale SERIKALI LEGELEGE itakapo amka kutoka usingizzini.
Hali imekuwa ngumu sana na hakuna uhakika wa kupata huduma muhimu kama afya, elimu, chakula, maji, umeme, mafuta n.k.
Sasa ni wakati muafaka wa wananchi kubadilishana habari na taarifa through social networks na kisha kufanya uamuzi wa kuingia barabarani na mitaani kuandamana mpaka pale SERIKALI LEGELEGE itakapo amka kutoka usingizzini.