johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,968
- 141,980
Ndio maana yake
Ili kumaliza figisu za hapa na pale ndani ya CCM ni vema Katibu mkuu wa chama ateuliwe kutoka Zanzibar
Mtu kama Sadifa mwenye uzoefu wa kutosha wa Uongozi na wengine Wengi hata Vuai Nahodha wanafaa kumrithi Komredi Chongolo
Nawatakia Sabato Njema 😄
Ili kumaliza figisu za hapa na pale ndani ya CCM ni vema Katibu mkuu wa chama ateuliwe kutoka Zanzibar
Mtu kama Sadifa mwenye uzoefu wa kutosha wa Uongozi na wengine Wengi hata Vuai Nahodha wanafaa kumrithi Komredi Chongolo
Nawatakia Sabato Njema 😄