Omutwale
JF-Expert Member
- Feb 4, 2008
- 1,429
- 1,045
- Thread starter
- #21
.......Kama kuna kitengo goigoi ndani ya CDM basi ni kitengo cha HABARI. Yaani bila msaada wa wanachama na watu nje ya chama wenye kupendezewa na harakati za CDM huwezi kujua nini kinaendelea ndani ya CDM au kuna mpya gani. Mara nyingi Mh. Regia amekuwa akijarbu kuwafichia aibu hii ya udhaifu katika kuhabarisha umma. Nashindwa kuelewa Erasto Tumbo kazi yake nini?....
Kumbe wachochezi CHADEMA wako wengi. Huyu naye ni mmoja wao.