hbar wadau bana naleta hii mada ni wakati gan muafaka wa kumuambia mpnz wako kuwa katika mahusiano yako ya nyuma yalipelekea kuwa na mtoto je ni wakat wa mwanzo wa mapenz au katikati au baada ya ndoa koz yamewah kumkuta rafik yangu alikuwa na mchumba wakafika ktk stage ya introduction kwa wazaz wakatoa nusu mali, ikawa inasubiliwa kumalizia from known where dem kapata habar mchumba wake ana mtt na ajamuambia mshikaj akazuga demu akavunja uchumba akadai heri angemuambia mwenyewe kuliko kusikia