GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,747
- 109,202
Kauli Mbiu ya Mashujaa FC kutoka Mkoani Kigoma ( kwa Watani zangu Washamba ) inayomilikiwa na JWTZ na inayoshiriki Ligi Kuu ya NBC Tanzania inasema MAPIGO NA MWENDO hivyo mtakavaana nao Kikitokea cha Kuwatokea tusije Kulaumiana.
Na kuna Wachezaji kama Watatu humo ni wale Wazee wa Morogoro sasa mtakaocheza nao nyie Jichanganyeni yawakute kwani hiyo Kauli Mbiu yao ya MAPIGO NA MWENDO hawajaibuni Kimakosa bali wamemaanisha na wanamaanisha hasa.
Kazi ipo.....!!
Na kuna Wachezaji kama Watatu humo ni wale Wazee wa Morogoro sasa mtakaocheza nao nyie Jichanganyeni yawakute kwani hiyo Kauli Mbiu yao ya MAPIGO NA MWENDO hawajaibuni Kimakosa bali wamemaanisha na wanamaanisha hasa.
Kazi ipo.....!!