Wanajukwaa mko pouwa?Huku ni pouwa ndyo napata lunch hapa NAPATA VITU VYA STUDIO PAMOJA NA MBOGA SABA (maisha si magumu kama mnavyozani)
Juzi bana nilikuwa kwa mshkaji wangu ambaye tunaivana sana .Shem katukaribisha chai pale wakati tunakunywa shem akamwita mzeiya nje.
Wakakaa muda kidogo huko mara ghafla nikasikia ugomvi kwa nje kumbe jamaa alikuwa anabananishwa aache kodi ya meza. Mhhh purukushani zikaendelea pale
======================
"Nimechoka bwana kunizongazonga kila saa hata vitu vidogo vidogo vya hapa ndani unashindwa kununua mbona wanawake wenzio wanaweza KA VIPI JIONGEZE" (Jamaa alipaza sauti)
Baada ya hapo mke alifura kweli "ahaa unataka nijiongeze ee haya bwana unachokitafuta utakipata"
Maneno yaliendelea kuwa makali akionekana kumtuhumu mumewe kumtaka ajiingize kwenye nyendo.
Sasa nikajiuliza hivi hauli kama hii tu inawezazua tafrani kiasi hiki.Wazee wa kudadavua hebu tujuzeni kuna shida hapo.
=========================
Kuhusu huo mgogoro nilitoka kuwaamua na kumwachia shem kama ten hivi la kutuliza machungu
Juzi bana nilikuwa kwa mshkaji wangu ambaye tunaivana sana .Shem katukaribisha chai pale wakati tunakunywa shem akamwita mzeiya nje.
Wakakaa muda kidogo huko mara ghafla nikasikia ugomvi kwa nje kumbe jamaa alikuwa anabananishwa aache kodi ya meza. Mhhh purukushani zikaendelea pale
======================
"Nimechoka bwana kunizongazonga kila saa hata vitu vidogo vidogo vya hapa ndani unashindwa kununua mbona wanawake wenzio wanaweza KA VIPI JIONGEZE" (Jamaa alipaza sauti)
Baada ya hapo mke alifura kweli "ahaa unataka nijiongeze ee haya bwana unachokitafuta utakipata"
Maneno yaliendelea kuwa makali akionekana kumtuhumu mumewe kumtaka ajiingize kwenye nyendo.
Sasa nikajiuliza hivi hauli kama hii tu inawezazua tafrani kiasi hiki.Wazee wa kudadavua hebu tujuzeni kuna shida hapo.
=========================
Kuhusu huo mgogoro nilitoka kuwaamua na kumwachia shem kama ten hivi la kutuliza machungu