Ni ushamba au ujinga? Naombeni kujua

cha muhimu ujumbe umefika best ata kaz nshapata cha kushangaza nimetoka chuo kizuri tu apa nchini

Duh kazi bado kubwa, chukulia mchango wake positive basi maana kwa uandishi huu kweli kuna walakini na elimu yako.

Hakukuwa na lazima ya kujibainisha kama msomi wa chuo kikuu
 
Mapenzi haya dotcom.

Hamjui kusoma katikati ya mstari eh!
Hapa hamjaelewa, binti kamaliza chuo tayari kwa hiyo braza hana lake tena. Si mnajua huko makazini kuna wapya wenye
maana zaidi!!
 
nema13 shikilia msimamo wakp wa kuachana naye na usiyumbishwe na vitisho vyake hana ishu kabisa kama walivyosema wengine. Kwa haya machache uliyoeleza huyo mvulana ukiolewa naye jua kuwa pesa yako ndio itakayowatunza, utaendelea kuona siri za ndani zikimwagwa nje na mwisho usitegemee heshima kutoka kwa ndugu na wazazi wake na utarajie kuolewa na familia yao yaani kupelekeshwa na familia yao katika maisha yenu ya ndoa. Kwa hiyo subiri mwanaume atakayekufaa zaidi achana na vivulana.
 
Kwani huko chuon somo la CL halikuwepo kuhusu note taking and note making? hamkujifunza matumizi ya alama na paragraph kwa lengo la kuondoa boredom kwa msomaji?

Had it bn is legal language inakubalika kuwa na one paragraph with long and complex sentence. Sasa wewe kisa ni jf ndio unajiandikia tu huoni wenzio ambavyo huwa wanaandika?

Bt yet unatuambia umetoka chuo kizuri, basi kama chuo kizuri wewe hukuwa mwanafunzi mzuri. Kupata kaz does not justfy kuwa u were a good student mbona vilaza wengi tu wanapata kaz na wamedesa kama kawa.

Anyway pole kwa yaliyokukuta!!!.....it happens!

Mkuu hata kusoma na kuandika ni tatizo kubwa sana kwenye vyuo vyetu. Imagine huyu ni wa Chuo kikuu sijui wa kidato cha nne itakuwaje.

Kuonekana msomi si kupata kazi tu, lakini pia ni uwezo wa kuandika kwa ufasaha ili kuweka tofauti kati ya mtu aliyepata elimu na yule ambaye hajaipata. Sijui hata hizo 'course work' zilikuwa zinafanyikaje, na sijui hata report kazini zinaandikwaje.

Elimu kwetu ni janga la Kitaifa.
 
cc nema13

you hate him..! then you love him.. then you love him, then you hate him!!

 
Last edited by a moderator:
cha kushangaza nimetoka chuo kizuri tu apa nchini

hata mimi nimeshangaa kwa kweli..!

kila nilipokuwa najitahidi kusoma, utility ilikuwa inazidi kushuka tu!

tatizo si vyuo... tatizo ni wana vyuo!
 
Mwenzio miaka 2 hata laki haijafika.....sijui ww???heri ya mwaka mpya

Hahahahahaaaa! Thi kathema hata hapendagi hela!!!
...
Best za mwaka mupya ziko poa kiupande wangu!
Thjui dha kwako zinaendaje!
...
All in all baraka na heri za mwaka mupya ziwe nawe!
 
Chuo gani kimekupika hadi unatafuta kazi sasa? Kuandika huwezi, hakuna cha aya wala nukta. Ni kutiririka mwanzo mwisho, haieleweki unataka kusema nini. Posti imejaa koma tupu. Vijana badilikeni kifikra angalau ionekane umesoma kidogo na kuna kitu umejifunza kitaaluma. Kwa hali unaweza kuandika barua ya maombi ya kazi na kuandaa CV inayoeleweka kweli?

hahahahaha! Noma sana
 
Tatizo sio kusoma chuo kikuu maarufu Tanzania, tatizo ni kwanini hufuati utaratibu wa uandishi?. Au ulienda chuo kuchukua vyeti na sio elimu?. Anyhow! pole kwa yaliyokukuta, huyo jamaa mwache aongee mwishowe atachoka.
 
Tatizo sio kusoma chuo kikuu maarufu Tanzania, tatizo ni kwanini hufuati utaratibu wa uandishi?. Au ulienda chuo kuchukua vyeti na sio elimu?. Anyhow! pole kwa yaliyokukuta, huyo jamaa mwache aongee mwishowe atachoka.
 
.mwanafunzi wa chuo kuweka aya huwezi, Jesus Ndio mapenzi waweza Kweli....?



==> Huyu ni FORM 4 Div. 0 ya Mulugo huyu....she said kamaliza chuo kizuri tu...hata chuo hakijui huyu...

....Blal full....0 kabisa huyuu.....
 
its high tym that women start blaming themselves for attracting aint shit niggers instead of pinning the blame on guys alone.
 
hata mimi nimeshangaa kwa kweli..!

kila nilipokuwa najitahidi kusoma, utility ilikuwa inazidi kushuka tu!

tatizo si vyuo... tatizo ni wana vyuo!

Kweli kabisa mkuu, tatizo ni wanachuo, kwa sababu kama ni ushauri kapewa lakini badala ya kuuchukua binti ndio anazidi kutetea madudu yake.!!!
Mbona kazi ipo.
 
Huyo mwanaume gani anakua na tabia za kike namna hiyo..achana nae..fanya mambo yako mkuu
 
mrudishie laki 2 na riba kisha mpotezeeee akija kuomba msamaha mwambie akawatangazie wote kwamba amekuaa mambo ya utoto hana tena
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom