waafrika kufanya haya?
Kweli,kama ni nje ya mhutu wana-hug siyo?Hiyo ni noma mkuu.Waafrika wa wapi? Kwa watusi ku hug ni sehemu ya utamaduni wao, wana hug kila mtu wakisalimiana naye isipokuwa mhutu.
Hapo ndo penye tatizo,maana huanzisha mengine.Sio vibaya ila hilo kiss lisizidi mipaka.