Inategemea jinsia yako..Hey Guys!
Mnaendeleaje, Poleni na majukumu, naomba mawazo yenu juu ya hii changamoto hapa.
Hivi ni sahihi kumuacha mpenzi wako aliyekucheat na kama ukiamua kumsamehe ni muhimu kufahamu kuwa mahusiano yao na huyo aliyecheat nae yameishia wapi?
Unaweza kumsamehe tu, ila kuendelea kuishi naye ni majanga kwako maana hakucheat kwa bahati mbaya bali ni tabia yake natural, sasa ya nn ubaki naye huyo mzinzi?Hey Guys!
Mnaendeleaje, Poleni na majukumu, naomba mawazo yenu juu ya hii changamoto hapa.
Hivi ni sahihi kumuacha mpenzi wako aliyekucheat na kama ukiamua kumsamehe ni muhimu kufahamu kuwa mahusiano yao na huyo aliyecheat nae yameishia wapi?
Sisi wanaume kila siku tunacheat na hatuachwi.......Sio sahii kumuacha mwanamke eti kisa kacheat..Hey Guys!
Mnaendeleaje, Poleni na majukumu, naomba mawazo yenu juu ya hii changamoto hapa.
Hivi ni sahihi kumuacha mpenzi wako aliyekucheat na kama ukiamua kumsamehe ni muhimu kufahamu kuwa mahusiano yao na huyo aliyecheat nae yameishia wapi?
Hey Guys!
Mnaendeleaje, Poleni na majukumu, naomba mawazo yenu juu ya hii changamoto hapa.
Hivi ni sahihi kumuacha mpenzi wako aliyekucheat na kama ukiamua kumsamehe ni muhimu kufahamu kuwa mahusiano yao na huyo aliyecheat nae yameishia wapi?
Kabisa kama mimi kaka kuwa makini hukoUnapendwa kudanganywa?
Kama huna uwezo wa kumuacha acha kumfatilia utajiumiza bure.
Msaliti sio mtu wa kumvumilia kabisa.
Hata Mimi nikiwa msaliti na akathibitisha hilo aniache tu.Kabisa kama mimi kaka kuwa makini huko
Hana ujanja anatafuta sababu ya kuendelea nae ila kiuhalisia usaliti hauna mbambambaUmeshanasa mkuu,hapa unataka tukutie moyo Ili uendelee na huyo mzinzi.Kama unaubavu piga chini tuone utakavyolia kilio Cha umbwa mwizi