Esperance
JF-Expert Member
- Jan 27, 2011
- 364
- 84
Hamjambo wanajamvi wote pole na mgao. Mwenzen kuna tatizo lanikwaza na kunikondesha kwa kweli. Niko kwenye mahusiano huu mwezi wa nne. Katika maongez na huyo mwenzangu akaniambia mambo yake mbalimbali ya maendeleo na mimi nikamwambia nna kakibanda kangu japo cjakamalizia basi imekuwa nongwa anaiponda mbaya, mara wadogo zangu wanafanya Masters, mara nataka kununua coaster, mara nyumba yangu ni m70. In short ka amani kamepotea kimtindo, nna vijimiradi anaviponda pia .sasa nashindwa kuelewa tatizo ni nini?hanijali tena kama zamani. Msaada wa mawazo ndgu zanguni. Asanteni