Nyakwaratony
JF-Expert Member
- Dec 21, 2011
- 573
- 140
- Thread starter
- #21
Asanteni kwa ushauri, nimeelewa sasa shida iko wapi? Nitafanya sehemu yangu. Be blessed all
Habari wana jamii.... Mume wangu huyu alifiwa na mke wake wa kwanza miaka mitano iliyopita na akamwachia watoto wawili ambao tunaishi nao pia.
Naomba maoni na mchango wenu. Karibuni
Uzuri ni kwamba..Habari wana jamii, Ni takribani miaka miwili imepita tangu nimeolewa na tuna mtoto mmoja. Mume wangu huyu alifiwa na mke wake wa kwanza miaka mitano iliyopita na akamwachia watoto wawili ambao tunaishi nao pia.
Basi mimi sio mzuri sana na mtembeleaji wa social network sababu ya ubusy wa kazi, lakini leo nikaona ngoja nipite pite walau niperuzi account yangu ya facebook. Mh nikapita pia kwenye account ya hubby nikakuta ameupload picha ya marehemu mke wake waliyopiga wakiwa pamoja katika hug bila kuwa na maelezo yoyote katika hiyo picha. Nimepita kama vile sijaiona na sijamuuliza chochote.
In fact hatuko kwenye condition nzuri make kuna some misunderstanding baina yetu. Ni nini mtazamo wako wewe mwanajamvi? Naomba maoni na mchango wenu. Karibuni
Jaribu kumuita na kuzungumza nae kitu uzima
Wala usitake kushinda nae
Nilicho gundua Jamaa mstaarabu
Mwingine ni Gambe Na Kutembea na Wanawake ovyo ovyo
Uzuri ni kwamba..
1. Unajuwa kuwa aliowa...
2. Unajuwa kuwa alifiwa na mkewe
3. Unajuwa kuwa hata alie, aweke picha popote, achane picha, bado haviwezi kumrudisha duniani marehemu mkewe
4. We unahangaikaje na mtu alikufa?
5. Unadhani kukuowa wewe maana yake anamchukia marehemu mkewe?
6. Hivi unadhani hamkumbuki? Au ikitokea (GOD FORBID) wewe umetangulia, akusahau milele?
Kuna vitu wanawake nashindwaga kuwaelewa... HIVI UNGEKUTA KAWEKA PICHA YA MWANAMKE UNAYEJUWA YUPO HAI, SI UNGEJIUWA..???
Nadhani jamaa anamkumbuka huyu mke wake labda kulingana na vituko unavyo mfanyiaHabari wana jamii, Ni takribani miaka miwili imepita tangu nimeolewa na tuna mtoto mmoja. Mume wangu huyu alifiwa na mke wake wa kwanza miaka mitano iliyopita na akamwachia watoto wawili ambao tunaishi nao pia.
Basi mimi sio mzuri sana na mtembeleaji wa social network sababu ya ubusy wa kazi, lakini leo nikaona ngoja nipite pite walau niperuzi account yangu ya facebook. Mh nikapita pia kwenye account ya hubby nikakuta ameupload picha ya marehemu mke wake waliyopiga wakiwa pamoja katika hug bila kuwa na maelezo yoyote katika hiyo picha. Nimepita kama vile sijaiona na sijamuuliza chochote.
In fact hatuko kwenye condition nzuri make kuna some misunderstanding baina yetu. Ni nini mtazamo wako wewe mwanajamvi? Naomba maoni na mchango wenu. Karibuni