Hahah yeye atakuwa mzanzibaria huyo
Kwa hiyo unasema kuwa wabara hawakuwepo zanzibar ila wazenji walikuwepo huko wakiendelea na maisha miaka hiyo ?
Mkuu kwa kuanzia tu kitu ambacho ni muhimu kufahamu, Zanzibar ilikuepo Kabla ya Tanganyika, Na wazanzibari wenye asili ya bara wameanza kuhamia Zanzibar wakati Zanzibar tayari imeshakuepo na watu wapo. Kipindi cha Biashara ya Utumwa ndio wengi walipoanza kuhamia kwa wingi. Simaanishi huko nyuma hakukua na watu weusi walikuepo ili wengi wao walianza ku imagrate kipindi hicho.
Hayo yote sio muhimu, La muhimu ni kuwa Tanganyika inaitawala Zanzibar kimabavu na wamekua wakitumia lugha kuwa eti wanawatetea waafrica wanaoishi Zanzibar kitu ambacho sio sahihi, mana hao wanaowaita ndugu zao waafrica wameshaikataa CCM kitambo sana na ndio maana kila chaguzi CCM wanapigwa karibu kwa asilimia 80% wanaishia kutumia nguvu kuchukua serekali.