Jana usiku kwenye taarufa ya habari ya saa mbili kampuni ya NICOL ilimsafisha R. Mengi kuwa hahusiki wala hakushinikiza ununuzi ununuzi wa kiwanda cha dawa cha mdogo wake. Baada ya kusafishwa, Mengi alisema sasa anafikiria hatua ya kuchukua juu ya naibu waziri aliyemchafua ingawa alisita kutaja jina. Naomba kuuliza kama kuna mwana JF anayemfahamu huyu mh. Mengi alidai kuwa huyu waziri anavuta umatemate toka kwa tajiri mmoja kwa lengo moja tu la kumchafua.