Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 37,641
- 46,283
Raia wengi wa Asia(Uarabuni, China, India, Russia, Uturuki, Pakistan n.k) wamepata nafasi za juu na muhimu za uongozi huko West hasa US, Canada na Uingereza na pia katika bara la Amerika ya Kusini lakini hakuna wazungu wa kutoka hizi sehemu katika nafasi muhimu za uongozi katika nchi hizo za Asia na Uarabuni.
Kwa nini hali ni tofauti kiasi hichi? Kitu gani kinachowazuia wazungu kuwa viongozi katika hizi nchi za Asia?
Kwa nini hali ni tofauti kiasi hichi? Kitu gani kinachowazuia wazungu kuwa viongozi katika hizi nchi za Asia?