Profesa
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 905
- 624
Boat hii iliuzwa kwa Tanzania mwaka 2011 na kwa taarifa zaidi fuatilieni thread hii iliyorushwa humuhumu Jamvini: https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...te-sells-2-passenger-ferries-to-tanzania.html
State passenger ferries sold and leaving for Tanzania | KPLU News for Seattle and the Northwest
Kwa mujibu wa Munir Zacharia wa Chanel 10 Bado Haijazama inaelea na vikosi vya uokoaji wanajitahidi kufanya uokoaji. Inasemekana kutakuwa na vifo kadhaa tayari BBC wamecover habari hii BBC News - Tanzania rescue bid as ferry sinks off Zanzibar
Pia ni vema kufahamu kuwa Boat hii iliwahi kusimamishwa shughuli zake kutokana na hofu ya usalama wake hivi karibuni mnamo mwezi wa February angalia hapa: Zanzibar news update – MV Skagit stopped from sailing to Pemba by ZAM over safety concerns « Wolfganghthome's Blog
State passenger ferries sold and leaving for Tanzania | KPLU News for Seattle and the Northwest
Kwa mujibu wa Munir Zacharia wa Chanel 10 Bado Haijazama inaelea na vikosi vya uokoaji wanajitahidi kufanya uokoaji. Inasemekana kutakuwa na vifo kadhaa tayari BBC wamecover habari hii BBC News - Tanzania rescue bid as ferry sinks off Zanzibar
Pia ni vema kufahamu kuwa Boat hii iliwahi kusimamishwa shughuli zake kutokana na hofu ya usalama wake hivi karibuni mnamo mwezi wa February angalia hapa: Zanzibar news update – MV Skagit stopped from sailing to Pemba by ZAM over safety concerns « Wolfganghthome's Blog