Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 47,238
- 188,815
Una uhakika ana uwezo wa kumuacha?tokea ule uzi wako wa kwanza nilichoona ni kwamba anakuchuna tu, umefanya vizuri kuachana nae
Una uhakika ana uwezo wa kumuacha?tokea ule uzi wako wa kwanza nilichoona ni kwamba anakuchuna tu, umefanya vizuri kuachana nae
Nakaziashida kubwa ni upwiru
AweeeHakuna mwanamke saivi ambaye mwanaume atamwambia amuoe aseme asubiri...
anachunwa tu huyu anatumika, soma nyuzi zakeUna uhakika ana uwezo wa kumuacha?
anachunwa tu huyu anatumika, soma nyuzi zake
hana chaguo lingine
Siwezi edit, maana ni uhalisia, mahari pia wanajilipia, wanabeba na mimba ili tu waolewe...Aweee
Edit hii kitu… hujakutana wewe na waoaji ambao hujawafeel? Huwavibe na chochote? Unless otherwise uwe ni yule ambaye huna choices, hata sielewi umemaanisha nini kutujibia hivyo.
Pole sana boss,, huyo Dem atakuuwa na pressure, kabsa nakwambia,, Sasa Ili umusahau, tafuta Dem mwingne Kwa nguvu yyte ile Ili uwe unapoza usikae na mmoja tu,,, lengo umusahau kabsa hii itakusaidia kuachana nae,, futa no ake na umblock Ili asikupate popote pale tsup mpk sms
Mi mkuu nampenda na hapa ananiomba msamahaTwende taratibu,
Wewe akili yako inakwambiaje?
Ukiwa na vijihela mwanamke lazima akusikilize broWakuu ...yani hapa nilipo nimejikuta Niko down Sana na Sio kwa sababu eti Nina shauku ya kutaka kumla manzi wangu...hapana ni just mzuka umekata tu na hiki kibaridi Cha dar sielewielewi...
Ule unabii wa isaya 4:1 lazima utimie. Wanawake saba kumshika mume mmoja.Siwezi edit, maana ni uhalisia, mahari pia wanajilipia, wanabeba na mimba ili tu waolewe...
Makanisani nako wapo wanatafuta ndoa...
Choice hawana saivi...
Naunga mkono hoja ila mleta bandiko nilimshauri na namshauri aachane na huyo dada, hapendwi atatumika na ataumizwa sana.Pole mkuu..kiukweli katika tabia ninazochukia namba moja ni hiyo. Watu mmepanga jambo wawili ukicancel unacancel peke yako kimyakimya ni ushamba wa kiwango cha PhD
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Apambane amsahau japo sio rahisi lakin ndio maamuzi yenye tija kwakeUna uhakika ana uwezo wa kumuacha?
😂😂we jamaa ni kipengeleMi mkuu nampenda na hapa ananiomba msamaha