Mkumbwa Jr
JF-Expert Member
- Mar 23, 2016
- 2,390
- 3,186
Hapo itakua nizamu ya marais kutoana roho. Hawakubali
Hakika mkuu ,uroho wa madaraka ,wizi ,umimi haiwezekani kabisaHakuna tija yoyote vinchi maskini vilivyojaa migogoro ya kisiasa vikiungana.
Kwanza haiwezekani kufikia hatua hiyo ya serikali moja, maana vyeo vitapungua, na kwenye vinchi ushubwada kama hivi vyeo ndiyo kipaumbele namba 1.
Kama Tanzania imeshindwa kuwa Na Rais Mmoja na Serikali Moja..Huwa nawazaga hivi kwa viongozi mliopo madarakani hakuna anaewaza kuitawala Afrika Mashariki yote na kulifanya likawa taifa moja?
Kwa sasa naiona hiyo ni fursa kwa viongozi wa Tanzania kujitafakari na kuchanga karata ili muweze pata fursa ya kufikia lengo hili, ila kama mtaendelea kuwaza kujenga madarasa, na kuunga juhudi za vyama, niwaambie tu kuna siku upepo utabadilika itatokea taifa mojawapo hapa Afrika Mashariki litajikuza kiuchumi, kiteknolojia, nk, na kuanza kuchukua mamlaka kinguvu ndani ya mataifa mengine, na tutapofikia huko tambueni kwamba mtakuwa mmechelewa.
Mimi naamini kuna viongozi kati yenu ndani ya Afrika Mashariki wanawaza kuzitawala nchi nyingine, na nchi mmoja wapo ni Rwanda huyu jamaa wa Rwanda endapo angepata na atapata nyezo na nafasi thabiti mtajikuta mnatawaliwa na kuunganishwa na kuwa nchi moja, na hili haliwezi fikika kirahisi, kama hutotumia akili na mahesabu makali kulitimiza.
nb: Viongozi wa Tanzania ni muda wenu sasa kujipanga ili hiyi nafasi ibaki kwenu.
naunga hoja yakoMoja la wazo la kipumbavu ni pamoja na hili na la Afrika iungane iwe nchi moja.
Acha mzaha bro. Hawa hawa walio madarakani kwa wizi wa kura wataweza kutoboa huko? Wakenya, Wasomali... siyo wapole kama Watanzania, kutazuka vita ya kudumunb: Viongozi wa Tanzania ni muda wenu sasa kujipanga ili hiyi nafasi ibaki kwenu.
Wazo baya kuwahi kutokea.Huwa nawazaga hivi kwa viongozi mliopo madarakani hakuna anaewaza kuitawala Afrika Mashariki yote na kulifanya likawa taifa moja?
Kwa sasa naiona hiyo ni fursa kwa viongozi wa Tanzania kujitafakari na kuchanga karata ili muweze pata fursa ya kufikia lengo hili, ila kama mtaendelea kuwaza kujenga madarasa, na kuunga juhudi za vyama, niwaambie tu kuna siku upepo utabadilika itatokea taifa mojawapo hapa Afrika Mashariki litajikuza kiuchumi, kiteknolojia, nk, na kuanza kuchukua mamlaka kinguvu ndani ya mataifa mengine, na tutapofikia huko tambueni kwamba mtakuwa mmechelewa.
Mimi naamini kuna viongozi kati yenu ndani ya Afrika Mashariki wanawaza kuzitawala nchi nyingine, na nchi mmoja wapo ni Rwanda huyu jamaa wa Rwanda endapo angepata na atapata nyezo na nafasi thabiti mtajikuta mnatawaliwa na kuunganishwa na kuwa nchi moja, na hili haliwezi fikika kirahisi, kama hutotumia akili na mahesabu makali kulitimiza.
nb: Viongozi wa Tanzania ni muda wenu sasa kujipanga ili hiyi nafasi ibaki kwenu.