Hakuna cha bahati ni kukazana kufanya kazi kwa bidii na kujiwajibisha; angekuwa anategemea bahati saa hizi angekuwa anakunywa gongo kwa bibi yake kule Kogero!!!Kaza buti mwananchi magamba wasikukatishe tamaa kuna siku watasepa!!!
Si mwafrika mwenzetu kazaliwa toka katika tumbo la mzungu, na kakulia katika nchi ya wazungu, angezaliwa toka tumbo la mwafrika mwenzetu angalau, na ndiyo maaana wazungu wamemchagua kwa kuwa katoka kwa mzungu mwenzao siku zote, wazungu walisema if you are White you are ALL RIGHT if you are black stay at the BACK if you are Brown you can stick around! obama is brown if not yellow he can stick around, blacks have to stay at the back!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.