GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,910
- 109,659
"Kuna watu wanagombea urais nimewasikia mwingine anasema ameonewa sana 'nimepigwa risasi', hiyo kupigwa risasi ni jambo baya lakini sio kila anayepigwa risasi anafaa kuwa rais, vinginevyo watu wote wangetamani kupigwa risasi ili wawe marais." - Stephen Wasira.
globalpublishers
Nyie Watoto wa Mzee Wassira akina 'nanihii' hebu mjitahidi 'Kumzalia' huyu Mzee 'Wajukuu' wengi ili 24/7 awe 'busy' Kucheza nao kwani anatuboa.
globalpublishers
Nyie Watoto wa Mzee Wassira akina 'nanihii' hebu mjitahidi 'Kumzalia' huyu Mzee 'Wajukuu' wengi ili 24/7 awe 'busy' Kucheza nao kwani anatuboa.