Jenerali Ambamba
JF-Expert Member
- Sep 8, 2014
- 3,344
- 2,530
Jenerali....nilisikitika sana baada ya kusikia jamaa anajifagilia kuwa anafahamika kimataifa kwahiyo hatahitaji kuwekeza na kutumka muda mwingi kwenye kujitambulisha! Inasikitisha sana
Kwani Uhuru Kenyatta alijitambulisha kwa nani? Obama alipochaguliwa alienda kujitambulisha kwa nani?