Ni miaka mitano sasa, bado serikali haijabadili sheria ya ndoa

Binti 1

Member
Dec 1, 2018
28
64
Mwaka huu 2024 utakua ni mwaka wa 5 tangu maamuzi ya mahakama ya rufaa ya kukazia hukumu iliyotolewa na mahakama kuu katika kesi iliyohusiana na umri wa binti kuolewa ambapo serikali ilitakiwa kurekebisha sheria hiyo ili wasichana wasiolewe kabla ya kufikisha miaka 18. Lakini mpka sasa, bado serikali haijabadili hiyo sheria.

Je, unadhan nini kifanyike ili serikali ibadili sheria hiyo?
 
Sidhani kama sheria hiyo itakomesha ndoa za utotoni, dawa ni wasichana wa umri huo watengenezewe chupi za chuma nikimaanisha wazazi na jamii kiujumla ijikite katika kusimamia maadili mema na kujenga uchumi kwa kufanya kazi kwa bidii. Ukiangalia vyanzo vya ndoa za utotoni ni hali ya uchumi duni na maadili.
 
Kwa hiyo mtoto akipewa mimba na miaka 13&14 asiolewe ,huoni kama watoto wanaozaliwa na wanawake waliopo chin ya miaka 18 wanakosa haki ya kuwa na baba!?

Jaalia mtoto kazalishwa na mtu wa hovyo akiwa na miaka 15 ,16,17,18 akafanikiwa kuzaa sasa yule mtoto atakuwa hana baba na atalelewa na Single mother automatically kwa vile hamna ndoa .....yule kijana wa hovyo anaweza kukwepa majukumu kama hatokamatwa hata akiwekwa jela hamna cha maana kwa vile mtoto aliyezaliwa tayari kashakosa haki ya kuwa na baba yake (kafungwa jela ), hata malezi ya matunzo hatopata.
 
Huyo aliyekwenda mahakamani kupinga sheria ya ndoa ya sasa unaweza kukuta kaanza kugegedwa akiwa na miaka 14 na keshachoropoa mimba kibao kabla hajafika miaka 18,sheria ya sasa iachwe kama marekebisho yawe kama binti bado anasoma au kabakwa kwa maana ya kuingiliwa bila ridhaa yake hapo ndoa isiwepo na watakaohusika wachukuliwe hatua za kisheria lakini siyo ukute toto shule limekataa kazi ni kugegedwa kila kukicha halafu siku ulikute live linaulilia useme uliache eti halijafika miaka 18,hiyo hapana huyo aolewe tu.
 
Vibinti vyenyewe wanavyo zuia kuolewa huku mtaani ni vizinzi na vichunaji vizuri vya waume wa watu.

Kuzuia binti wa miaka 15,16,17 asiolewe alafu wakati huo unamchoma sindano ya kuzuia mimba ili afanye uzinzi kwa uhuru ni ushetani ulio pitiliza na ni moja wapo ya ajenda ovu kama hii ya ushoga
Kiufupi kama binti ana miaka kuanzia 15 kwenda juu akawa hasomi na akataka kuolewa sioni haja ya kumzuia.
 
Sidhani kama sheria hiyo itakomesha ndoa za utotoni, dawa ni wasichana wa umri huo watengenezewe chupi za chuma nikimaanisha wazazi na jamii kiujumla ijikite katika kusimamia maadili mema na kujenga uchumi kwa kufanya kazi kwa bidii. Ukiangalia vyanzo vya ndoa za utotoni ni hali ya uchumi duni na maadili.
Looohh
 
Back
Top Bottom