Inategemeana na basi utakalopanda na hadhi yake pia.Kwani Iringa nauli bei gani? Kuna bus lipo Buguruni sheli apo niliona nauli 15,000 alafu lipo fresh tu!
Sawaa mkuuInategemeana na basi utakalopanda na hadhi yake pia.
ABC luxury class bei yao ni 28,000/=
Kuna hilo basi la Buguruni bei yake ni 15,000/=
Kuna ya 22,000/= etc.
Kupanga ni kuchagua, ila cha muhimu ni kufika.