Ni lini Vyeo vya Kijeshi (Collar Insignia) vimebadilishwa hapa nchini?

Acha ushamba mkuu karibia majeshi mengi sasa generals wapo kwa mtiririko huo wa nyota brigedia nyota moja major jenerali nyota mbili luten jerani tatu na jenerali nne ..

Jeshi linaenda na wakati tu hivi vitu sio mbaya kama mkienda na identity ya international standard ..
Wewe ndo mshamba na hujui unachojadili hapa, nyota hazijaanza Sasa, zilikuwapo toka zamani. lakini ili tujadili kwa usawa, niambie ni sababu ipi imepelekea kubadili hizi insignia. Kama ni kuendana na international standard unayoidai, basi nayo siyo sahihi, kwa sababu insignia za zamani ndiyo zinafuata mfumo wa kiingereza. Sasa kama nia ilikuwa Ni kubadilsha, hawakuzingatia utamaduni wetu. Jeshi linamiaka sasa, iweje ghafla wanabadilisha na kupuuza historia yote.

Kwa wamarekani, wao hawana mbwembwe, Huyo mkuu angekuwa na nyota mbili tu mabegani bila ya mikasi wala ngao.
 
Wana JF

Nimeona picha ya Meja General Gaudence Milanzi, aliyeteuliwa na kuapishwa na Rais hivi karibuni kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, kwenye blog ya Mpekuzi Huru, ikanipa Maswali.

Kwenye picha hiyo ( ambayo nimei copy na kupaste hapo chini tena), Major Generali Milanzi, anaonekana kuvaa mabegani COLLAR INSIGNIA yenye mkasi, nyota mbili na ile ngao ya bibi na bwana. Kwa uelewa wangu hicho cheo ni cha Generali Kamili, kama vile Mkuu wa Majeshi aliyepo. Japo kuwa nyota zake zimejipanga tofauti na zile za Generali kamili.

Kwa ufahamu wangu, Ma- Major Generali wanakuwa na Mkasi na nembo ya Bibi na Bwana tu, je hii picha imechakachuliwa au vyeo vimebadilishwa? Naomba mwenye taarifa atujuze kama "Collar Insignia" za kijeshi zimebadilishwa hapa nchini.



1.png
Huyo ni Ltn General ni cheo kimoja nyuma ya General
 
Pasco, asante kwa maelezo. Ila tu kuhusu majina za vyeo>

Mimi nimekuta orodha hii za vzeo ambazo ni tofauti kidogo upande wa Kiswahili>

Officer ranks

General Jenerali
Lieutenant General Luteni Jenerali
Major General Meja Jenerali
Brigadier General Brigedia Jenerali
Colonel Kanali
Lieutenant Colonel Luteni Kanali
Major Meja
Captain Kapteni
First Lieutenant Luteni
Second Lieutenant Luteni Usu


Enlisted Ranks


Warrant Officer Class I Afisa Mteule Daraja la Kwanza
Warrant Officer Class II Afisa Mteule Daraja la Pili
Staff Sergeant Sajinitaji
Sergeant Sajenti
Corporal Koplo
Lance Corporal Koplo Usu
Hapo ndio umepatia mkuu,actually vyeo vya JWTZ havina tofauti na vya jeshi la Uingereza, Pasco ulikuwa ametuchanganya kidogo - sijui kasahau mbona alipitia JKT.
 
Wewe ndo mshamba na hujui unachojadili hapa, nyota hazijaanza Sasa, zilikuwapo toka zamani. lakini ili tujadili kwa usawa, niambie ni sababu ipi imepelekea kubadili hizi insignia. Kama ni kuendana na international standard unayoidai, basi nayo siyo sahihi, kwa sababu insignia za zamani ndiyo zinafuata mfumo wa kiingereza. Sasa kama nia ilikuwa Ni kubadilsha, hawakuzingatia utamaduni wetu. Jeshi linamiaka sasa, iweje ghafla wanabadilisha na kupuuza historia yote.

Kwa wamarekani, wao hawana mbwembwe, Huyo mkuu angekuwa na nyota mbili tu mabegani bila ya mikasi wala ngao.



Wewe unadhani kwani hata hao waingereza wao hawabadiliki kwenda na nyakati..

Jwtz zamani ilikua inatumia majina ya vyeo za branch ya army kwenye navy .. Unakuta navy kuna general, colnel kadharika .. siku hizi hamna tena hayo mambo wanatumia admiral ni international standard sasa sijui nini unabisha ..

Na hapa hamna tamaduni yeyote ulipindishwa kama mkasi na kwa majenerali bado upo kwa ngao ya bibi na bwana bado ipo ..

Umekaa kilawama lawama tu kila kitu ndio maana wabongo hawaendelei ...

Hao majenerali walioamua kwenda hivyo sio wajinga asee jeshi letu lina wasomi na wazalendo wakifanya kitu wanafanya kitu kwa maslahi ya taifa .. Kua makini na malawama yako hayo
 

Ahsanteni sana Wana JF, nimepata majibu, nina kushukuruni sana kwa michango yenu. Nimejifunza kuwa:

1) Kumbe kuna mabadiliko yamefanyika mwezi wa Tisa 2015, na mchakato wake ulianza mwezi March 2015, na kama ni sahihi, mmoja wa wachangiaji anasema
2) Jeshi letu lime adopt vyeo vya Jumuiya ya Madola, kama standardisation ya insgnia za kijeshi.


HITIMISHO:
1. Ninaomba kutoa ushauri kwa Jeshi, hasa wale wanaohusika na kitengo cha ElimU kwa umma pamoja na Wizara ya Ulinzi na Jeshi la kujenga Taifa:

Kwamba ni muhimu kutoa elimu Kwa wanachi juu ya mabadiliko hayo, kama Jeshi wataona inafaa. Maana hivyo vyeo hawavai kwa ajili ya kujitambulisha kwa wanajeshi wenzao pekee yao, nina amini ni pamoja na sisi wanachi kuwa tambua pia.

2. Lakini pia, mabadiliko hayo naamini yametumia pesa nyingi za walipa kodi, maana vyeo vyote vya zamani hata kama insgnia zilikuwa mpya au hata hazikuwa chakavu kabisa wakati wa kubadilisha mfumo huo, kwa mantiki hiyo zimeshakuwa redundant, hazitatumika tena, either zitabaki kama souvenir au labda huenda zime au zitateketezwa kabisa ili kuondoa confusion?

3. Yaweza kuwa haina tija kwao kama Jeshi, lakini kwetu sisi wananchi ni muhimu kupewa taarifa kwa sababu mbali mbali, maana hili ni Jeshi letu;

a) Iisije siku moja ikatokea madhara kwa askari wetu, tena wa cheo cha juu kabisa kumzidi kanali pale watu wakamponda mawe kamanda wakidhani ameji impersonate kwa kuvaa cheo cha wakubwa sana.

b) The rest ni kujaribu internalise mabadiliko haya kwa sie tuliyebahatika kujua mabadiliko haya.



Ahsanteni, Mnyoofu.
 
Wewe unadhani kwani hata hao waingereza wao hawabadiliki kwenda na nyakati..

Jwtz zamani ilikua inatumia majina ya vyeo za branch ya army kwenye navy .. Unakuta navy kuna general, colnel kadharika .. siku hizi hamna tena hayo mambo wanatumia admiral ni international standard sasa sijui nini unabisha ..

Na hapa hamna tamaduni yeyote ulipindishwa kama mkasi na kwa majenerali bado upo kwa ngao ya bibi na bwana bado ipo ..

Umekaa kilawama lawama tu kila kitu ndio maana wabongo hawaendelei ...

Hao majenerali walioamua kwenda hivyo sio wajinga asee jeshi letu lina wasomi na wazalendo wakifanya kitu wanafanya kitu kwa maslahi ya taifa .. Kua makini na malawama yako hayo
Hakuna lawama hapa mkuu. Nimekubali kubadilishwa kwa wanamaji lakini mbona kwa wanaanga imebaki kama zamani?
Kuhusu waingereza hawajawahi kubadilisha na hawatakuja badilisha. Yote ni kwa sababu ya Identity, historical, prestige, traditions and Norms. Kama alivyochangia hapo juu, nini ni tija ya haya mabadiliko? Note: Kama haya mabadiliko yangependekezwa kipindi hiki cha C.In.C JPM angetupilia mbali.
 
Ukiondoa cheo cha Private, na vyeo maalum, vyeo vingine vyote vya jeshi la polisi, magereza, uhamiaji, zimamoto na JWTZ, vimegawanyika mafungu matatu matatu ambao vinapisha kwa alama moja moja!.
Kwa JWZ,


Jeshi la Wananchi la Tanzania - JWTZ
tanzania-army-land-forces_03.png

Koplo mdogo Koplo Sajenti
lance corporal corporal sergeant
tanzania-army-land-forces_04.png
tanzania-army-land-forces_05.png
tanzania-army-land-forces_06.png

Sajenti Mtumishi Maafisa Wateule 2 Maafisa Wateule 1
Staff Sergeant Warrant officer class 2 Warrant officer class 1
tanzania-army-land-forces_07.png
tanzania-army-land-forces_08.png
tanzania-army-land-forces_09.png

Luteni wa Pili Luteni wa Kwanza Kapteni
Second Lieutenant First Lieutenant Captain
tanzania-army-land-forces_10.png
tanzania-army-land-forces_11.png
tanzania-army-land-forces_12.png
tanzania-army-land-forces_13.png

Meja Luteni Kanali Kanali Brigedia Jenerali
major lieutenant colonel colonel brigadier general
tanzania-army-land-forces_14.png
tanzania-army-land-forces_15.png
tanzania-army-land-forces_16.png

Meja Jenerali Luteni Jenerali Jenerali
major general lieutenant general general

Happy New Year
Pasco
Hivi ni vya zamani,vya sasa kuanzia bregidia general vimebadilika
 
Hizi picha mbili tofauti ya juu ni General wa insignia za zamani....na wa Chini ni insignia mpya na yeye ni Maj Gen (Two Star Gen)....kwa sasa Mwamunyange ana nyota 4 begani....pia kwenye gari.....Maj Gen wana nyota 2 ngao na mkasi...(Brigadea ni nyota 1 ,mkasi na ngao.......)

Lt Gen ana ngao mkasi na nyota 3...(zamani alikuwa ngao mkasi nyota 1...

47238112.cms

MILANZI.png

Hili nami nimekuwa nikijiuliza hususani juzi wakati wakifunga mazoezi ya pamoja Bagamoyo! Mkuu Pasco naomba uje kutoa ufafanuzi please!
 
Hizi picha mbili tofauti ya juu ni General wa insignia za zamani....na wa Chini ni insignia mpya na yeye ni Maj Gen (Two Star Gen)....kwa sasa Mwamunyange ana nyota 4 begani....pia kwenye gari.....Maj Gen wana nyota 2 ngao na mkasi...(Brigadea ni nyota 1 ,mkasi na ngao.......)

Lt Gen ana ngao mkasi na nyota 3...(zamani alikuwa ngao mkasi nyota 1...

Asante kwa ufafanuzi! Tulizoe insignia za kwenye magari kudefine 1,2,3 & 4 star general
 
Wamebadili muundo na mpangilio wa nyota kuanzia brigedia jenerali ila vingine vimebaki vile vile
Nyota nne ni jenersli,3 ni lt jeneral,2 meja jeneral na 1 ni brigedia jeneral
Afande pasco kuna wakati pia kulikua na cheo cha brigedia baada ya kanali na kabla ys brigedia jenerali.baadae kilifutwa vp ulikuwa bado jeshini?
 
Ni kweli kwa sasa begani na garini sawa sawa!!
Kwa muktadha huo Brigadier atakuwa na mkasi bibi na bwana na nyota moja equivalent na insignia ya zamani ya LT. General? Badala ya Bibi na bwana na nyota tau begani?
Hiyo ni Mosi kuna huyu nilimwona juzi embu nipe ufafanuzi anarusha jet ama?
IMGS1169.JPG
 
Ni mwanamaji huyo....na huyo ni sawa na Captain kwa jeshi la nchi kavu...!! Navy wana alama tofauti kidogo sana na wengine!

Kwa muktadha huo Brigadier atakuwa na mkasi bibi na bwana na nyota moja equivalent na insignia ya zamani ya LT. General? Badala ya Bibi na bwana na nyota tau begani?
Hiyo ni Mosi kuna huyu nilimwona juzi embu nipe ufafanuzi anarusha jet ama?View attachment 412175
 
Vyeo vyote vyote vya jeshi letu viko makundi matano , kila kundi lina maofisa wa ngazi tatu tatu isipokuwa kundi la majeali wao wako ngazi nne, Vyeo vyao katika kila kundi vinapishana kwa ngazi moja moja
Kundi la Juu ni la maofisa wa Juu, wanaitwa Staff Oficers ambalo ni la majeneali na wako wanne.
General Jenerali -Mkasi na nyota 4, pia gari yake ina nyota 4, anaitwa A Four-Star General.
Lieutenant General Luteni Jenerali-Mkasi na nyota 3, pia gari yake ina nyota 3, anaitwa A Three-Star General.
Major General Meja Jenerali-Mkasi na nyota 2, pia gari yake ina nyota 2, anaitwa A Two-Star General.
Brigadier General Brigedia Jenerali-Mkasi na nyota 1, pia gari yake ina nyota 1, anaitwa A One-Star General.
Kundi la Pili kutoka juu ni la maofisa wakuu, wanaitwa Senior Oficers ambalo wako watatu.
Colonel
Kanali-Ngao na nyota mbili
Lieutenant Colonel Luteni Kanali-Ngao na nyota moja
Major Meja -Ngao
Kundi la tatu kutoka juu ni la maofisa wa chini, wanaitwa Junior Oficers ambalo wako watatu

Captain Kapteni-Nyota tatu
First Lieutenant Luteni-Nyota mbili
Second Lieutenant Luteni Usu-Nyota moja
Kundi la nne kutoka juu ni la askari ambao sio maofisa, wa juu, wanaitwa Senior NCOs (Non Commissioned Officers) ambalo wako watatu
Warrant Officer Class I Afisa Mteule Daraja la Kwanza-Ngao mkononi kama saa
Warrant Officer Class II Afisa Mteule Daraja la Pili-Mwenge mkononi kama saa
Staff Sergeant Sajinitaji-Ngao na mbavu tatu
Kundi la tano na la mwisho ni la askari ambao sio maofisa, wanaitwa Junior NCOs (Non Commissioned Officers) ambalo wako watatu

Sergeant Sajenti-Mbavu tatu
Corporal Koplo-Mbavu mbili
Lance Corporal Koplo Usu-Mbavu moja
Pasco.
NB-Pasco baada ya kuhudumu JKT, alijiunga na JWTZ moja kwa moja lakini naomba nisiulizwe lolote kuhusu utumishi wangu jeshini, niliondokaje, na niliondoka na cheo gani, ila vita ikitangazwa leo, mimi ni miongoni mwa wana jf, tutakaokwenda mstari wa mbele!.
Mbona sioni cheo cha brigadier
 
Ni mwanamaji huyo....na huyo ni sawa na Captain kwa jeshi la nchi kavu...!! Navy wana alama tofauti kidogo sana na wengine!

Asante sana, kwanza nakusalimu kwa hisani ya 'bwana yule' wa buguruni!
Juzi niliona pia utaratibu wa insignia kuwepo kwenye kofia mfano CDF alikuwa amevaa cap yenye 4 stars!
Naipi huu utaratibu wa bwana mkubwa naye kuvaa combat ni rasmi aliojiwekea ama ilikuwa planned maana hata kombat yake imeshanakshiwa tofauti na alipovaa mwanzo.
IMGS0984.JPG
IMGS0823.JPG
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom