Naomba majibu
Alaaaaa. Ni kitamboooo daaaah. Una kumbukumba sana
SaanaAkijitahidi sana basi ni dakika ya 60, ulimi nje! Then Matola anambadilisha faster. Mwingine ni Kibu Denis.
Hawa viumbe huwa wanafanyiwa ukatili mwingi sana na yule kijana anayependa urojo! Feisal Salum aka Fei Toto byuti byuti, kiasi wanajikuta wanaruka ruka tu uwanajani
Futa basi uzi wakoAlaaaaa. Ni kitamboooo daaaah. Una kumbukumba sana
Kumbe alichosema Manara ni kweli aiseh.