J33
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 1,552
- 1,505
Nakubaliana na yerico mimi ni kati ya watu wanaoamini uwepo wa uchaw na nguvu zake na binafs unanisaidia kwa wakat flani flani ila tatizo ni kuwa kwa kawaida wachaw hutumia majin sasa wakat flan mwanadamu akiwa na shida flan majin yanataka kitu flan yamsaidie sasa hapo ndio tatizo mwanadamu akiambiwa kiungo cha albino lazima apeleke. Kwa kifup hakuna namna ambayo majini au mizimu inaweza kukusaidia bure ni lazima ulipe kitu flan sasa kwenye malipo ndio inategemea utaambiwa nini na wakat flan yana kulazimisha kuwa yakishakutajia yanachotaka lazima ulete sasa kwa hal hiyo albino hawawez kupona ila pia mganga wa kweli hawez kuzuiliwa na serikal maana ana nguvu kuliko serikali
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums