Gosbertgoodluck
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 2,855
- 401
Wazee,
Miongoni mwa hazina kubwa ya ccm ni Bw. Wilson Mukama. Huyu jamaa ni kifaa na hivi karibuni ametumika sana kujaribu kufunikafunika uchafu wa ccm na serikali yake. Inawezekana jk akamteua kuwa Katibu Mkuu wake.
Miongoni mwa hazina kubwa ya ccm ni Bw. Wilson Mukama. Huyu jamaa ni kifaa na hivi karibuni ametumika sana kujaribu kufunikafunika uchafu wa ccm na serikali yake. Inawezekana jk akamteua kuwa Katibu Mkuu wake.