Zungumzia paper kaka sio mbagala, na matusi sio mawazo ni ugonjwa.Mzee mohamed katika andiko lako kuhusu Islamic bible scholar imenishangaza Sana.maisha yangu yote nilikuwa sijui kama kuna udini ,ila nilivyohamia mbagala ambao kuna ndugu zako Wa kiimani wengi kuna mambo ya ajabu Sana.kutwa ni mihadhara ya kidini kushambulia ukristo Na DVD za kashfa watu wenyewe ukiwaona hawana uhakika Wa Kula Na wamekata tamaa ya maisha Na hao walioweka convert to Islam ni njaa au tamaa za Dada zetu kutaka ulaini Wa maisha mwisho Wa siku yanawashinda coz wanaolewa Na wauza unga.kuhusu ugeni wangu jf ,usinizuie kisakologia nisitoe mawazo yangu. Tatizo nyie walalamishi Sana .are you professional katika dini yako kama mtetezi?